Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Ngoja nikuulize swali! Kwa uwelewa wako mimba ya bahati mbaya ipo au haipo?Si ndiyo hapo sasa


Ngoja nikuulize swali! Kwa uwelewa wako mimba ya bahati mbaya ipo au haipo?Si ndiyo hapo sasa


jirani unanitafutia matatizo kwa watu ujue...
Hapana jirani yangu simsubiri yeye![]()








Ipo sana, mimba ya bahati mbaya ni mimba isyokua na mipango, yani imetokea tu bila kupangilia kutaka mtoto,Ngoja nikuulize swali! Kwa uwelewa wako mimba ya bahati mbaya ipo au haipo?![]()
Alaa! patakucha alafu huu ubishani hautaisha eti maana naona huu usiku ni mfupi ww unakaa upande gani kwanza unakubali au ukakataa?Ukiweza tumia akili kubwa, unajenga hoja kali tulianzishe kama vipi, tupia facts zako
Acha mambo ya ajabu aise jirani 🤪🤪namsubiri mtu mwingineUnamsubiri nani jirani![]()
Umechanhamka leo mpaka rahaPoa sanaaaa.....
Tafasiri yangu ni ile mimba ya bahati mbaya ni mtu kubakwa au mpira kupasuka wakati wa match hakuna bahati mbaya nyingine kuzidi hizo mbili.Ipo sana, mimba ya bahati mbaya ni mimba isyokua na mipango, yani imetokea tu bila kupangilia kutaka mtoto,
Wewe unatafsiri ingine?
Education is better than moneyAlaa! patakucha alafu huu ubishani hautaisha eti maana naona huu usiku ni mfupi ww unakaa upande gani kwanza unakubali au ukakataa?
🥱🥱🥱Umechanhamka leo mpaka raha
Awww! Pesa ni bora kushinda elimu mzee wanguEducation is better than money

Sawa mkubwa.Nakagua lindo wanazengo



Watu wanatafuta watoto sahii.Kuna watu wako wanakwichi saa hiii![]()
Yule chalii asije
Hata sijui ni yanani huwa nasikiaga watu wakisema dunia tunapita.Kwani hii dunia ni yetu?
yeah, ndio hivyo.Exactly,Dunia tunapita eeh kila kitu kitabaakiaa aah binadam ni mchanga, itabaki mileleee ni milimaa
Hoja zako ni zipi,Awww! Pesa ni bora kushinda elimu mzee wangu![]()
Hivi tunapita hapa duniani tunaenda wapiExactly,Dunia tunapita eeh kila kitu kitabaakiaa aah binadam ni mchanga, itabaki mileleee ni milimaa
Tunaenda wapiHata sijui ni yanani huwa nasikiaga watu wakisema dunia tunapita.