Ukilewalala
JF-Expert Member
- Feb 18, 2018
- 542
- 1,112
Lazima ukatae tu 🤣🤣Duh! Hapana aisee 😆
Lazima ukatae tu 🤣🤣Duh! Hapana aisee 😆
Ndo maana nakupendaga sema unanirukaga..😜
Nilpitiwa na usingizi muda huoTansy niliwahi yes, kwema lakini, wewe bado hujavuta shuka
Sema wazinguaji, wanachukua muda mrefu bana.... Hii ep tamu, pipi ameact more romantic hadi raha. Angel alizingua hapo kati hadi nikajisemea "I'll trust no body at the end kumbe ilikuwa ni game tu afu imeishia pazuri hadi nikahisi vbaya 😅Ndo maana nakupendaga sema unanirukaga..😜
Ahsante nitaicheki sikujua kama imeendelea..
Ha ha pole.. nikitulia nitaicheki napenda sound zao zipo safi sana kamera na namna wanavyoakti mixer na wanavyotumia tunyimbo twa zamani.. kuwa mpole mambo mazuri siku zote huwa hayataki haraka.. nimependa huu uelekeo wa bongo movie hii kampuni ya idriss ikitulia kuna kitu itakileta kizuri sana I appreciate them..Sema wazinguaji, wanachukua muda mrefu bana.... Hii ep tamu, pipi ameact more romantic hadi raha. Angel alizingua hapo kati hadi nikajisemea "I'll trust no body at the end kumbe ilikuwa ni game tu afu imeishia pazuri hadi nikahisi vbaya 😅
Wacha wee🤪🤪Walinzi mmelala? Km kuna aliye macho aseme yuko wapi nimletee totoz moja ya kuamka nayo
Mkizubaa napiga zote mbili
Nataka kutekwaPapy chulo naangalia wa kumteka hapa
Ebhana ndo nimetoka kuiangalia hawa viumbe wanataka kutuonyesha nini mbona lipicha linazidi kuweka hamu ya kutaka kuifatilia..😅
YaanEbhana ndo nimetoka kuiangalia hawa viumbe wanataka kutuonyesha nini mbona lipicha linazidi kuweka hamu ya kutaka kuifatilia..😅
Walete nyengine fasta.
Kuwa mpole tu.. tusubiri inspector mwana ana kipi ila yale mapelelezi mafala Kama Mimi yanamng'ang'ania pipi.. ila hata Mimi ningeng'ang'ania Toto zuri ile hata angel pia black beauty..😜😅Yaan
Sijaamini pale mgahawani alivyotokea Angel manaa me nilikuwa nishamchukia tayari.. Hapo ep nyingine nahisi ni after two weeks au zaidi, wanachelewesha mpaka wanaboa
Mida badoThat Danga thing is overated. Hamna kipya, waigizaji bado amateurs, story ya kawaida, direction not bad, production fair, ila episode ya latest, too many drone shots kwa ajili ya transitions, kuna plot holes kibao, sound quality safi sana. Plus hakuna consistency kwenye tarehe za kutoka episode mpya, angetulia atengeneze episode 2 ndio aendelee zingine taratibu. Sema kibongo bongo inabadili uelekeo kutoka kwenye kuiga makelele ya wanaijeria kwenda kwenye something watchable.
Kwa mtazamo wangu idris angeanza na ile comedy ya discount mpaka aive ndio alete something big kama hii danga




Hadi discount unaijua 😆😆 Ep 3 nimecheka sana, manager kama manager.That Danga thing is overated. Hamna kipya, waigizaji bado amateurs, story ya kawaida, direction not bad, production fair, ila episode ya latest, too many drone shots kwa ajili ya transitions, kuna plot holes kibao, sound quality safi sana. Plus hakuna consistency kwenye tarehe za kutoka episode mpya, angetulia atengeneze episode 2 ndio aendelee zingine taratibu. Sema kibongo bongo inabadili uelekeo kutoka kwenye kuiga makelele ya wanaijeria kwenda kwenye something watchable.
Kwa mtazamo wangu idris angeanza na ile comedy ya discount mpaka aive ndio alete something big kama hii danga
Leo wa manne.USIKU WA MAANAN HAUJAFIKA JAMANI.