Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 12,199
- 33,736
Hivi wanawake wanakujaga bar bila hela kabisa?
Kuna wadada wa makamo watatu hapa pembeni yangu dakika 40 zinakatika hawajaagiza chochote. Wanaona kwangu vinywaji vinakuja non-stop wananichekea chekea wanafikiri mimi simp wa kutoa hela kijinga jonga tu.
Kuna wadada wa makamo watatu hapa pembeni yangu dakika 40 zinakatika hawajaagiza chochote. Wanaona kwangu vinywaji vinakuja non-stop wananichekea chekea wanafikiri mimi simp wa kutoa hela kijinga jonga tu.