Ushimen
Platinum Member
- Oct 24, 2012
- 44,055
- 110,674
Ndoa ni ukatili...🤨Oya dingi kataa ndoa
Ndoa ni ukatili...🤨Oya dingi kataa ndoa
Nayaona mateso yako mzee, kimbia nyumbani 😅Ndoa ni ukatili...🤨
Usijishughulishe nao,huo ni uzembe wao….ilibidi wawe na kianzio…pombe huvuta pombe mwenzie….hatutoi offer patupu🤒🤣🤣ðŸ¤Hivi wanawake wanakujaga bar bila hela kabisa?
Kuna wadada wa makamo watatu hapa pembeni yangu dakika 40 zinakatika hawajaagiza chochote. Wanaona kwangu vinywaji vinakuja non-stop wananichekea chekea wanafikiri mimi simp wa kutoa hela kijinga jonga tu.
Kijana mzuri,umegoma kulala?00:16
Usingizi unagoma kabisa kila nikikuwaza mrembo.Kijana mzuri,umegoma kulala?
Nisubiri,yaan soon….hii siyo ya kuchelewa hii😊 usijekatisha mawazo bure🤒Usingizi unagoma kabisa kila nikikuwaza mrembo.
Ya kweli hayo?Nisubiri,yaan soon….hii siyo ya kuchelewa hii😊 usijekatisha mawazo bure🤒
We tulia tu hapo😋Ya kweli hayo?
Salama kabisa, heri ya pasaka mrembo?We tulia tu hapo😋
Kwema lakini? Waendeleaje?
Namshukuru Mungu kwa kweli,ni njema kabisaSalama kabisa, heri ya pasaka mrembo?