JamiiForums Usiku wa manane
hili ni janga la taifa, kuna mtu alinambia chai ya tangawizi or maziwa fresh mda wakulala inasaidia bt mie nikitumia kuna baadh ya siku inakubal bt baadh ya siku inagoma kama leo.
Mi naamini kuna vitu havina formula bro..... Mi huwa napiga vyombo tu (pombe) ndio at least vinanipa usingizi ila hayo mengine naonaga chenga tu ila sometimes naeza piga vyombo na usingizi ukanigomea 😂😂 hadi huwa nahisi naumwa
 
Mi naamini kuna vitu havina formula bro..... Mi huwa napiga vyombo tu (pombe) ndio at least vinanipa usingizi ila hayo mengine naonaga chenga tu ila sometimes naeza piga vyombo na usingizi ukanigomea
right, kuna siku usingizi unagoma hadi kitanda unakichukia, sema ni vile tuna sim za kutusogezea muda.
 
Back
Top Bottom