Nimeanza upya triology nzima ya infinity saga ndio nimefika kwa Cap.
Hizi muvi hazichoshi.
View attachment 1520068
Najua nachouliza ndio mzee huwa siulizi nisichokijua we cap kwenye winter soldier anaulizwa alikuwa miaka hata yeye mwenyewe hakumbuki anachokumbuka ni kuwa alikuwepo toka vita ya kwanza ya dunia, Alafu leo aje apeleke miaka 3 mbele alafu arudi amezeeka!?Haha basi mkuu inawezekana haujui unachouliza
Au tupe wewe majibu unayoona sahihi



nasema je marvel uwongo wao ni wakitoto sana nikama movie za Jet Lee Mungu akijalia uzima movies zao za mwakani ndio zitakuwa za mwisho kuangalia mm bora niangalie Avatar.We mwanamke unatafutwa na Boss kazi unakaribia kufutwa.Laleni mie nitawalindeni![]()
Nina kauwoga niseme ukweli tu lakini nilivyo fala kuna movie inaitwa Ghosts of War nimeipakua lakini sijaiyangalia ni ya mwaka huudah mi ndio natulia hapo, napenda horror sana aisee, na ndio nilitaka nikuulzie horror gani umeiona mwaka huu.



Nzuri kiasi hio japo inaboa kidogoNina kauwoga niseme ukweli tu lakini nilivyo fala kuna movie inaitwa Ghosts of War nimeipakua lakini sijaiyangalia ni ya mwaka huu![]()
Sijaiyangalia kila nikitaka kuangalia kuna mtu atatokea na kuleta vuruguNzuri kiasi hio japo inaboa kidogo

maana movie nimezoea kuangalia peke yangu napenda utulivu.Usisahau tunasubiri ''Black widow'' tuone kuna nn humo ndaniNajua nachouliza ndio mzee huwa siulizi nisichokijua we cap kwenye winter soldier anaulizwa alikuwa miaka hata yeye mwenyewe hakumbuki anachokumbuka ni kuwa alikuwepo toka vita ya kwanza ya dunia, Alafu leo aje apeleke miaka 3 mbele alafu arudi amezeeka!?
Ndio maana Goddess hawezi anaglia movie inaisha kwa snap fingernasema je marvel uwongo wao ni wakitoto sana nikama movie za Jet Lee Mungu akijalia uzima movies zao za mwakani ndio zitakuwa za mwisho kuangalia mm bora niangalie Avatar.
Usisahau tunasubiri ''Black widow'' tuone kuna nn humo ndani
Cursed''
Warrioe Nun''
The Head''
Defending Jacob
Ju-On''
Tafuta hizi halafu thank me later



Iangalie aisee halafu tafuta hiiSijaiyangalia kila nikitaka kuangalia kuna mtu atatokea na kuleta vurugumaana movie nimezoea kuangalia peke yangu napenda utulivu.
Na Rambo apumzike pia.Iangalie aisee halafu tafuta hii
'' The mystry of the Dragon''
Japo kali kiduchu
Jackie chan angestaaf ku act na schwarzengger wake
We bure kabisa jana nmeshusha series 4 na movie 10Ndio niko nasubiria kumuona huyo Nat anamaajabu gani wakati kashakufa
Weekend na movie nyingi sana za kupakua mapaka sasa umenipa karibia 17. Lakini nitaanza na hizi 5 hapo.

Yes maana wameanza act movie zenye action za kittNa Rambo apumzike pia.
Weekdays nalala habari ya kukesha ni Jumamosi na Jumapili alafu saiz nataka nichukue external ya 1T.We bure kabisa jana nmeshusha series 4 na movie 10
Usiku huu nmemaliza hio cursed na ingine inaitwa she knows everything zote 2020
Zingine nitamalizia weekend
Poa, Vp lakini ile Subaru yako umeshauzaYes maana wameanza act movie zenye action za kitt
Ubaki salama mate




Poa vp mwamba.Mapopo wenzangu mpo
Mzee wa kz niajeee?Poa, Vp lakini ile Subaru yako umeshauza![]()
Poa niaje offsir?Mzee wa kz niajeee?