JamiiForums Usiku wa manane
Najua nachouliza ndio mzee huwa siulizi nisichokijua we cap kwenye winter soldier anaulizwa alikuwa miaka hata yeye mwenyewe hakumbuki anachokumbuka ni kuwa alikuwepo toka vita ya kwanza ya dunia, Alafu leo aje apeleke miaka 3 mbele alafu arudi amezeeka!?

Ndio maana Goddess hawezi anaglia movie inaisha kwa snap finger nasema je marvel uwongo wao ni wakitoto sana nikama movie za Jet Lee Mungu akijalia uzima movies zao za mwakani ndio zitakuwa za mwisho kuangalia mm bora niangalie Avatar.

Hahahaha niamini mimi niliposema haujui ulichouliza. Ungeomba tu uelezewe vizuri kitu ambacho nimejitahidi kufanya ila naona bado haukunielewa labda.

Wewe ile theory ya time travelling kwenye avengers endgame uliielewaje? Tuanzie hapo kwanza!
 
Back
Top Bottom