martinezstavo
JF-Expert Member
- Jun 30, 2020
- 735
- 1,560
03:06

We ndio yule Da Vinci?Ikitoka movie mpya marvel, itabidi twende wote tukaiangalie siku ya premier kwa wale wa dar,
Nilidhani pia wewe umelala, mlinzi mtiifu
Hahahaha naanzaje kulala, nami nipo msibani lupasoNilidhani pia wewe umelala, mlinzi mtiifu
04:50 Hrs in Dar; People are going to Moseques.
Hahahaha .04:36 mda wa kupiga cha asubuhi jamani amkeniiiii amkamkeniiiii
kwa wale wa cha asubuhi tu wengine lindo halijaisha bado
Ngoja tyuuuh niwe mlinzi hadi kukuche vizuriiih
Wee acha tyuuh yaan, aaaahUnastrss nn
Wee acha tyuuh yaan, aaaah
Akaaaaah hata wajumbe hawanihusu, nipo na mambo yangu tyuuuh.kazi ya wajumbe haijawai kumuacha mtu salam