JamiiForums Usiku wa manane
Sikumbuki vyema tena, mliniboa sana.
Mmesababisha mpaka sasa sifahamu kama Fatuma Karume kama ana familia ama laah.

(Halafu kuna mod anaitwa Farida pls mfikishie salamu zangu kama ukionana nae hapo ofisini)
Kama akioona nae hapo ofisini? Akina Farida wengi wanakuaga slim flani hivi na sauti za kiuchokozichokozi. Farida tutumie picha yako tafadhali
 
Siunajua mzigo unakuwa kwa order huo sio kinyonge kuown unajua zero km mwana aeleza vizuri tu kalipataje hilo dudu washa.
Amna Mkuu Mbona used yapo(mtumba)
Unamjua hushpuppi ?

Alaf Mbona hata huk Tz zipo Lamborghini,
Lamborghini Gallado nahisi, Kama 2/3 Hivi
Moja plate number inaishia CCC ingine imeandikwa sijui DELICA/NA
Au Nikuletee na pich

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom