JamiiForums Usiku wa manane
Am speeding
pradoclub.kz___B5PFSAlhVX6___.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu kaleta uzi unamuhusu Fatuma Karume.
Nikauliza "hivi ana familia? Mume na watoto"
Hapo sheria ipi imevunjwa?🙄

Kweli wewe ni troublemaker *jokes*

Siku nyingine ukiwa na malalamiko kama hayo, mtumie private message Mod yeyote aliyekuwepo online, au tumia jukwaa la Complaints

*Unakumbuka title ya mada hiyo?
 
Kweli wewe ni troublemaker *jokes*

Siku nyingine ukiwa na malalamiko kama hayo, mtumia private message Mod yeyote aliyekuwepo online, au tumia jukwaa la Complaints

*Unakumbuka title ya mada hiyo?
Sikumbuki vyema tena, mliniboa sana.
Mmesababisha mpaka sasa sifahamu kama Fatuma Karume kama ana familia ama laah.

(Halafu kuna mod anaitwa Farida pls mfikishie salamu zangu kama ukionana nae hapo ofisini)
 
Kweli wewe ni troublemaker *jokes*

Siku nyingine ukiwa na malalamiko kama hayo, mtumia private message Mod yeyote aliyekuwepo online, au tumia jukwaa la Complaints

*Unakumbuka title ya mada hiyo?
Moderator Habari
Ulinisaidia swala frani hivi
Kwa ufafanuzi wako mzuri
Na Mimi Nikakushukuru vizuri Sana
Lakini hujajibu
Kila siku nafresh Labda ntaona Asante yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom