- Aug 6, 2009
- 2,214
- 1,218
Mkuu,
Mbona unaniwekea maneno ambayo sikuyasema
Angalia tena ile screenshot ya Staff wa JF uliyoiweka halafu linganisha nilichokuambia
Nilisema hivi?
Ila hizi gari kuzimiliki afrika mashariki hatuzitendei haki maana hakuna barabara za kuzifanya zitambe to their top speed.Amna Mkuu Mbona used yapo(mtumba)
Unamjua hushpuppi?
Alaf Mbona hata huk Tz zipo Lamborghini,
Lamborghini Gallado nahisi, Kama 2/3 Hivi
Moja plate number inaishia CCC ingine imeandikwa sijui DELICA/NA
Au Nikuletee na pich
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakubwa wanafaidi aisee KajojoMaisha haya dah, natamani nirudi utotoni
Hey uko powa?3:34


Nipo poa