JamiiForums Usiku wa manane
Amna Mkuu Mbona used yapo(mtumba)
Unamjua hushpuppi ?

Alaf Mbona hata huk Tz zipo Lamborghini,
Lamborghini Gallado nahisi, Kama 2/3 Hivi
Moja plate number inaishia CCC ingine imeandikwa sijui DELICA/NA
Au Nikuletee na pich

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila hizi gari kuzimiliki afrika mashariki hatuzitendei haki maana hakuna barabara za kuzifanya zitambe to their top speed.
 
Back
Top Bottom