Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Umelala mapema banaaaa
Habari yako....
Umelala mapema banaaaa
Mzee you have answers to every question nd situation... nipe reference ya kitabu maana upo on pointYou can teach someone something that however you are not interested with it. As long as you deliver a certain knowledge to help.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk

Yeap hapo kweli.. sense of achievement na kupata satisfaction ndo inampa mtu furahaNow you're coming. Hell no. Huwezi kuwa na furaha kama hujafanikisha jambo flani mzee.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
@dbade chukua hio zawadi nimekupea just in advance before valentinezari amebaiwa kibeti ya 180jeez mulla ya kenya pia mi si mchache chenye kiko hapi ndani nimebuy na 181jeez pesa ya kenya
![]()
What kind of question is that? Bahati mbaya sina reference unless nijue ni kitu gani then nitafute. I'm sure I can get some.Mzee you have answers to every question nd situation... nipe reference ya kitabu maana upo on point![]()
Wazee Kwamba mnataka kunipa connections za replies Hahahahh
.
Haya mambo ya Intro and extroverts sijayajua vizuri Naona tuu Mada zake I haven't read them yet


tulia mzee..Kama hapo nilivyosema nipo introverted lakini ukajibu sio lazma so long as najua kitu.naeza mfundisha mtu hata kama sina interest nacho.kitu ambacho ni kweliWhat kind of question is that? Bahati mbaya sina reference unless nijue ni kitu gani then nitafute. I'm sure I can get some.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Muda wa kuingia kwenye lindo umewadia
Kuna kitabu kinaitwa Mindset: The new psychology of success. Kitafute ukisome. Kina mifano mingi sana ambayo itabadili mtazamo wako. Mathalani mimi sipendi kuwa na cycle kubwa ya friends. Na pia sio mzungumzaji kabisa. Hata katika mafanikio sipendi kujionyesha ndio nimefanikisha jambo flani.Kama hapo nilivyosema nipo introverted lakini ukajibu sio lazma so long as najua kitu.naeza mfundisha mtu hata kama sina interest nacho.kitu ambacho ni kweli
Ntakitafuta budaa japo ni mvivu wa vitabu asee.. nkifika nusu napiga chiniKuna kitabu kinaitwa Mindset: The new psychology of success. Kitafute ukisome. Kina mifano mingi sana ambayo itabadili mtazamo wako. Mathalani mimi sipendi kuwa na cycle kubwa ya friends. Na pia sio mzungumzaji kabisa. Hata katika mafanikio sipendi kujionyesha ndio nimefanikisha jambo flani.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Mimi pia sina cycle kubwa sana mzee na niko njema tuKuna kitabu kinaitwa Mindset: The new psychology of success. Kitafute ukisome. Kina mifano mingi sana ambayo itabadili mtazamo wako. Mathalani mimi sipendi kuwa na cycle kubwa ya friends. Na pia sio mzungumzaji kabisa. Hata katika mafanikio sipendi kujionyesha ndio nimefanikisha jambo flani.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Upo kama mimi. Ila nakisoma kwa sababu ni lazima nikisome maana kila mwisho wa mwezi tunajadili kile ambacho tumejifunza.Ntakitafuta budaa japo ni mvivu wa vitabu asee.. nkifika nusu napiga chini
Jitahidi kupumzika mzee ili usiamke ukiwa mchovu. Ukiamka ukiwa na clear mind kwenye kuianza wiki unakuwa active sana. Hapa kwangu ni saa 1 kasoro jioni.Mimi pia sina cycle kubwa sana mzee na niko njema tu
Plus saa hii saa nane bado dakika tano, inabd nilaze hii kichwa maana kesho saa moja natakiwa niwe up
Ila ni kweli huwa nafanya hivyo kiasi..sometimes unaeza jikuta na knowledge ya kitu flani hata kama hukipendi so mtu akijitokeza na kuhitaji..huwezo kumkunjiaUpo kama mimi. Ila lakisoma kwa sababu ni lazima nikisome maana kila mwisho wa mwezi tunajadili kile ambacho tumejifunza.
Ila kwa point yako ya awali ni kwamba kuna kipindi unatoa ushauri kwa kitu ambacho hata hukipendi lakini kwa sababu someone else kitamsaidia.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
True say brother ....Jitahidi kupumzika mzee ili usiamke ukiwa mchovu. Ukiamka ukiwa na clear mind kwenye kuianza wiki unakuwa active sana. Hapa kwangu ni saa 1 kasoro jioni.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Ndio manake. Na kumbuka kama jamaa akifanikiwa basi automatically you'll be blessed na utaona unazidi fanikiwa. That's what I believe.Ila ni kweli huwa nafanya hivyo kiasi..sometimes unaeza jikuta na knowledge ya kitu flani hata kama hukipendi so mtu akijitokeza na kuhitaji..huwezo kumkunjia
Haina noma. Tuendelee nikiona kimya nitajua umesha collapseTrue say brother ....
Na leo nilitaka kulala mapema ila kuna vitu vimenifanya nipitilize..
Nice night in advance budaa
tulia mzee..
Kiukweli japo sio wa kuchangia sana online ila huwa napata watu ambao tunashare vitu sawa, iwe mawazo, background, interests na huwa natural tu mnajikuta mnaclick
Extroverts = watu wanaokuwa comfortable na energetic wakizungukwa na watu .hawa ndo wengi
Introverts = hupata hivyo vitu wakiwa alone.. one man army yaani

