My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,603
- 11,883
Mwaka gani then nitakutajia op ulivyokuwa. Yaonekana ulienda kwa kulazimishwa as it was majibu wa sheria and you never liked anything about being there haha




Mkuu hizo details zote za nini ? sikulazimishwa hata kidgo, Nime enjoy Sana Sana tuu tena I wish I could turn back time to those good days
Mimi ndio nlikua mpiga kipenga wa kombania, Chenja ikipigwa lazma niamshe morali kwa vipenga
Hembu acha Kunikumbush zile raha mkuu
.
" Ooohh Ninyime ninyimeee ninyimeee kitumbua chako ninyimee kina mchanga "
Najua we ni mwenyewe hizi mambo





