Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,857
- 14,747
Mapema kupata cha asubuhi ?Bado mapema mkuu
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Mapema kupata cha asubuhi ?Bado mapema mkuu
Ndiyo mkuuMapema kupata cha asubuhi ?
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Cha asubuhi huu ndio wakati muafaka kwa wabongo ukizingatia leo ni j3.Ndiyo mkuu
Mkuu wapi huko?03:30am
Nadhani tumeelewana kwa Wakubwa tu
Hahahaha hii kitu mida kama hii hata konyagi inakata kabisa. Ngoja nikaangalie dukani kwa Mangi kama anaweza kunisaidia hio "dawa"Mkuu wapi huko?
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Weshafungua??Hahahaha hii kitu mida kama hii hata konyagi inakata kabisa. Ngoja nikaangalie dukani kwa Mangi kama anaweza kunisaidia hio "dawa"

Mkuu mida ya wanga na wezi hii. Na kuna kuna kamvua ni balaaHahahaha hii kitu mida kama hii hata konyagi inakata kabisa. Ngoja nikaangalie dukani kwa Mangi kama anaweza kunisaidia hio "dawa"
Kagoma aiseeee
Mkuu unaota nini?Feeling: "Kale kanyimbo ketu na wale Wajuba na jeneza lao..." Mixer midundo flani hivii Amazing kama kwaito!!
Sent using NASA Satellites
Jamaa atashindwa hata kulanduka
Wanga wenyewe wanagongea nyagi! Hii mvua na baridi ndio inazingua tu. Kama pombe nimekosa ngoja nisikilize maombi tu sasa.Mkuu mida ya wanga na wezi hii. Na kuna kuna kamvua ni balaa
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
I'm listening to Radio Safina with @TuneIn. #NowPlaying Listen to Radio Safina on TuneInWanga wenyewe wanagongea nyagi! Hii mvua na baridi ndio inazingua tu. Kama pombe nimekosa ngoja nisikilize maombi tu sasa.
Kaka mkubwa ulitakiwa uwe2na stock ya kutosha hasa kipindi hiki cha COVID-19. Unatakiwa kuwa na bapa hata 3 hadi 5 zitasaidia sana nyakati kama hizi. Pole mkuu I feel you.Wanga wenyewe wanagongea nyagi! Hii mvua na baridi ndio inazingua tu. Kama pombe nimekosa ngoja nisikilize maombi tu sasa.