JamiiForums Usiku wa manane
Unakaa nao kijiweni unashinda home, siajabu kukunyima chakula na kukupa kondom.../

Unahisi upo mahala pa amani, shtuka unaishi na mawakala wa shetani.../

Kesho mbali tafuta leo, nyota begani muombe mungu akulinde kesho unaweza kumka umefutwa cheo.../

Unaweza kufa leo, kisa umemkuta mmeo au mkeo anajirusha na mtu kama kipepeo.../

Utapata wapi upendo sikuhizi hakuna, hata ngazi ya familia kuna mambo ya utumwa.../

Utaskia mjomba mwanao si amemaliza form four, mwanao ukienda kwao ye ndio akudekie choo..../

Naladona

It's Scars
 
Back
Top Bottom