Aah usijifanye hujui hiyo note ngapi hapoIko wapi hiyo Samsung niliyopewa na Mkorea?
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk


Tunao kaa mabondeni nyumba zimeingia maji tunakazi hakuna kulala leo.Wakuuu,mnaogopa kumaliza godoro kwa kisingizio cha lindo?
Aah usijifanye hujui hiyo note ngapi hapo![]()





Hahahaaa. Kijana huna nidhamu. Hii Techno ila nimeifanyia maujanja tuha ha ha kati ya mvua na jua,bora nini?Tunao kaa mabondeni nyumba zimeingia maji tunakazi hakuna kulala leo.
Hahahaaa. Kijana huna nidhamu. Hii Techno ila nimeifanyia maujanja tu
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk


mm sio kiande wa kihivyo huwezi nipanga kifala hivyo 


ha ha ha kati ya mvua na jua,bora nini?



Hakuna bora vyote ni matatizo tu saiz ungekuta tunalalamika kuwa kuna joto.Mzee naona umekuja na bango ila pale Aga khan sio mchezo huduma yake![]()
Huamini sasa?mm sio kiande wa kihivyo huwezi nipanga kifala hivyo
![]()
Kufunga tu lindo hkn kingine, tufanye mazoezi kdgKuna habari gani humu tena???