JamiiForums Usiku wa manane
Ebwana waungwana leo imekuwaje tena huku ? Utaratibu umebadilika au ? Maana mnatuyumbisha kinoma kinoma.

Maana najishauri nitoke huku niliko nihamishie makazi huku.

Wale wazoefu msaada wenu tafadhali,nahitaji muongozo.
 
Ebwana waungwana leo imekuwaje tena huku ? Utaratibu umebadilika au ? Maana mnatuyumbisha kinoma kinoma.

Maana najishauri nitoke huku niliko nihamishie makazi huku.

Wale wazoefu msaada wenu tafadhali,nahitaji muongozo.
Dunia duaraa.....
 
Back
Top Bottom