JamiiForums Usiku wa manane
Samahani kama ntakua nimetoka nje ya uzi huu, ila nisaidieni tu "Halfcust" ni mtu wa aina gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea ka ni?in terms of tribe ni mtu mwenye amezaliwa na wasee wawili wa kabila tofauti eg tusema mama yako ni mkamba na baba yako ni mkikuyu sasa we ni halfcast wa mkamba na mkikuyu,hpe umeelewa sasa mi ni fourcast,my mum and dad wote ni halfcasts
 
Back
Top Bottom