February 9, 2019 is ...
40th day of the year. There are then 325 days left in 2019.
6th Saturday of 2019.
on the 6th week of 2019
Sana soon mwaka utaisha na goals badoSiku zinakimbia....
Sana soon mwaka utaisha na goals bado
Usikumbushie hiyo kitu....
Maana excuses kibao....





Bado unaweza ku adjust goals kama unaona pace ni kali sana na unakuwa unrealistic
Jambo zuri. Yule tatibu hujampata? Naona leo umeweza kabisa mpaka mda huu kukeshaHahahhaha....
Nitaanza rasmi March....
Ndio huyo najaribu kumfuatilia...tutibu hili gonjwa kabla ya March....Jambo zuri. Yule tatibu hujampata? Naona leo umeweza kabisa mpaka mda huu kukesha







Hahaha nikiwa na akili za kizee nikiwa kijana sindio nzuri nakua na busara nyingi?Ndio huyo najaribu kumfuatilia...tutibu hili gonjwa kabla ya March....
Maana Usingizi kitu muhimu sana....usije zeeka ubongo kabla ya mwili![]()






Mimi namshukuru Muumba mbingu na ardhi ni mzima wa afya.Bukheri wa afya, sijui wewe?
Unakuwa muhenga ulie baki peke yako hapa duniani.Hahaha nikiwa na akili za kizee nikiwa kijana sindio nzuri nakua na busara nyingi?![]()
Hahaha nikiwa na akili za kizee nikiwa kijana sindio nzuri nakua na busara nyingi?![]()
Mimi namshukuru Muumba mbingu na ardhi ni mzima wa afya.
Halafu utapendeza,unakuwa na kaupara flani hivi...Hahaha nikiwa na akili za kizee nikiwa kijana sindio nzuri nakua na busara nyingi?![]()
Nanyi pia.Ubarikiwe
Nitafurahi dadaUbongo kuzeeka...
Utajikuta na magonjwa ya uzeeni yanakupata wakati kijana....
Acha nikutafutie tabibu mapema sana


Nanyi pia.