Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,532
- 81,261
Hahaha upara hamna ni afro kubwa tu na busara za kizee.. Ila nimeambiwa sio nzuri acha niache hayo mawazoHalafu utapendeza,unakuwa na kaupara flani hivi...
Hahaha upara hamna ni afro kubwa tu na busara za kizee.. Ila nimeambiwa sio nzuri acha niache hayo mawazoHalafu utapendeza,unakuwa na kaupara flani hivi...
Nitafurahi dada![]()
Muache usimtafutie tiba,lindo litakosa watu...Ubongo kuzeeka...
Utajikuta na magonjwa ya uzeeni yanakupata wakati kijana....
Acha nikutafutie tabibu mapema sana
Muache usimtafutie tiba,lindo litakosa watu...
Kwa walio hapa.. Atakae penda kunywa chai au kupata Lunch pamoja na kupiga stori si za Siasa tutafutane PM mitaa ya Principal Edinburgh Charlotte Square UK day Jmosi na Jpili tutafutane..
Fulsa kwangu kukutana na walinzi wenzangu wa USIKU WA MANANE..
Naam kweli kabisa.
TupoHivi lindo limeshafungwa?naona kama nimebaki peke yangu...
Thanks for caring. Stay blessedNapenda afya yake ndio maana...
Hapana siwezi kuwa mzembe kiasi hiko. Kuna gari ilipita nikaitilia mashaka ikabidi nifuatilie nijue ni kina nani 😑😐
Hapana siwezi kuwa mzembe kiasi hiko. Kuna gari ilipita nikaitilia mashaka ikabidi nifuatilie nijue ni kina nani![]()



Hahaha ungejua ukweli wala usingeunga mkono hoja 😂