Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,821
kwenye lindo hakuna OT?Sindio ukuwe fiti tuendelee kulinda![]()
kwenye lindo hakuna OT?Sindio ukuwe fiti tuendelee kulinda![]()
Hahaha kama ipo ninge exceed limit tayarikwenye lindo hakuna OT?
mpito wa kiroho si ni kwa wanaume.....atatupeleka atuDrop yeye akaendelee na mengine, usijali chief.Akipita halafu akute umepanga kunipitia kwenda kwenye mpito wa kiroho kesho ni kweli bado utanipitia kwenda kupita katika mpito huo?
mfanye iwepo, wewe si ndie kiranja mkuu sasa?Hahaha kama ipo ninge exceed limit tayari
Hahaha hapana huo ukuu sina wanajaribu kunipa tu ila ndo kwanza new recruitmfanye iwepo, wewe si ndie kiranja mkuu sasa?
upokee tu chief ni baraka piaHahaha hapana huo ukuu sina wanajaribu kunipa tu ila ndo kwanza new recruit
nimekukumbuka sana...nikakuwaza...nikakutamka, hatimaye ikabidi niombe kubebewa salamu zangu hadi zikufikie,Hakika salamu zilifika, nashukuru kwa kunikumbuka katika ufalme wa kumbukumbu zako![]()
kweli?Njema kabisa best.
Sijakususa ila ni kama tunapishana humu kila siku, nikiingia wewe unakuwa umeshatoka, nikitoka wewe ndo unaingia
kwanini?
Majukumu mazito. Niyaache kwa aliekuwa nayo. Au nafasi ilikua vacant?upokee tu chief ni baraka pia

Chaliiyangu tufunge milango?Majukumu mazito. Niyaache kwa aliekuwa nayo. Au nafasi ilikua vacant?![]()
Tufunge tu kama kila mtu ametoka? Ukifungia mtu ndani itakua shida kidogoChaliiyangu tufunge milango?
haswaa....tena ya upendeleoMajukumu mazito. Niyaache kwa aliekuwa nayo. Au nafasi ilikua vacant?![]()