JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Mimi kama kiranja na kwa mamlaka mliyonipa wenyewe nawaamuru mrudi kule kwenye jukwaa la michezo mnajadili simba.

Mkimaliza mje lindoni na mada nyingine. Nasema hivi maana sitaki tusababishiane maudhi ya kihisia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi siyo shabiki wa mpira so sijali. Ila kama kuna anayekereka kikweli kweli aseme. Timu hizi zina wenyewe ati! Lakini hata kutaniana jamani!? Mbona Haji Manara huwa anataniwa...anatoka povu halafu baadaye anarudi kwenye mstari?
 
Mimi siyo shabiki wa mpira so sijali. Ila kama kuna anayekereka kikweli kweli aseme. Timu hizi zina wenyewe ati! Lakini hata kutaniana jamani!? Mbona Haji Manara huwa anataniwa...anatoka povu halafu baadaye anarudi kwenye mstari?
Haji Manara si alishasema simba sio baba yake wala mama ake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi siyo shabiki wa mpira so sijali. Ila kama kuna anayekereka kikweli kweli aseme. Timu hizi zina wenyewe ati! Lakini hata kutaniana jamani!? Mbona Haji Manara huwa anataniwa...anatoka povu halafu baadaye anarudi kwenye mstari?
Hahaha ungeona emoji chini ungejua natania tu. Najua leo simba tumepatwa maana na sisi huwa tunawatania sana wenzetu wakifungwa [emoji23][emoji23][emoji1787]
 
tapatalk_1541702544169.jpeg
 
To whom is still awake,Lets have a late night chat ama uni Pm ama tuingie wats app

Sent using Jamii Forums mobile app
Buda chat tu hapa watu hatulali, ka uko na topic yoyote we post tu isiwe tu inavunja sheria za JF, tutachangia wote.

Kama ukiona mshii msupa unataka kumchorea we chorea tu hapa hapa tutakupea support akikataa kukatika [emoji23][emoji23]
 
Ujinga haijanifikisha hapo,siezi patiana my number hivyo tu,n btw no one has it

Sent using Jamii Forums mobile app
Niliona unaita watu waje PM au Whatsapp ndo maana nikasema hivyo. Mine was just a simple and an innocent observation kamanda. Feel free and do your thang [emoji106][emoji106][emoji106]
 
Buda chat tu hapa watu hatulali, ka uko na topic yoyote we post tu isiwe tu inavunja sheria za JF, tutachangia wote.

Kama ukiona mshii msupa unataka kumchorea we chorea tu hapa hapa tutakupea support akikataa kukatika [emoji23][emoji23]
Still sipati hao ma girl dehm but nina maboy kadhaa ni ma arif sai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom