Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,718
- 126,564
Nikiipata link nitakupatia ukajisomee....niambie basi jamani na mimi hilo jibu nina kazi nalo
Nikiipata link nitakupatia ukajisomee....niambie basi jamani na mimi hilo jibu nina kazi nalo
Mmmmhhh.Njoo basi tulale tutazame horror movie sebuleni maana chumba kinarindima balaa.
Lala kifo cha mende ili kipate hewa vizuri na kiive haraka
Itapendeza zaidi...huo mchanuo style uliolala leo wakipita wapiga chabo kazi wanayo
Yes nipo hapa Herbalist Dr.MziziMkavu Hauchimbwi Dawa unasemaje Mkuu?Muone MziziMkavu
Mpishi mzuri?Usijal kabisa jiandae kuuvuta vzr man me nkukupikia utajilamba
Nipo Lindo. Nasubiri kumkabidhi Dingi.Nipo zamu leo nalinda mpk sa 9 namwachia ipogolo anapokea
Alafu usiniite hvyo unaniharibia
Kesho zamu yako ulinziWachaa weee,nimelewa hapa balaa
Pole! Njoo nikipasue.Hallo kitumbua kinauma Nina jipu uchunguu sjui limetoka wapi? Au Kwa sababu nilitumia Gillette msaada kwenye tuta tafadhali
Usihofu.On duty nipo.Naona hali ya lindo inaanza kuchafuka![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Msiishi peke yenu.Me mwenyew sina lkn sinywi
Vumbi je?Gillette na ilinikata kidogo Wewe kanyama kaliuma hatar wala sikuvaa pichuuu siku 2 maana nilijisikia watofaut mwepesi
Kumekucha saa hii, hata ukiondoka lindoni ni salama.04:21 Dingi njoo ukabidhiwe lindo.
Utafunga gate RenegadeKumekucha saa hii, hata ukiondoka lindoni ni salama.