JamiiForums Usiku wa manane
Nmeumia sana tena sanaa .....ndo mana nmeomba radhi
Kwa hiyo utanisagia hiyo mboga namna hii ili kesho nile kiporo barabara?
IMG-20160624-WA0010.jpg
 
Jamani njaa imenizidia,wacha nikubali kuwa leo ndio nimeshakosa riziki hivyo, wacha niendelee kuhesabu fito za paa la banda nililolalia yamkini Mola atanipa kula kukicha.

dingi mtoto na HB wa kigogo poleni sana. Mungu awarejeshee afya zenu tena. Nawapenda,nawamiss sana.
 
Jamani njaa imenizidia,wacha nikubali kuwa leo ndio nimeshakosa riziki hivyo, wacha niendelee kuhesabu fito za paa la banda nililolalia yamkini Mola atanipa kula kukicha.

dingi mtoto na HB wa kigogo poleni sana. Mungu awarejeshee afya zenu tena. Nawapenda,nawamiss sana.
Huna lolote ww kila siku fiksi tu
 
Back
Top Bottom