JamiiForums Usiku wa manane
Kwaherin endeleeni na lindo

Good Night
Sweet Dream

c1fd65fd9acd5a926296f7269a055fad.jpg
 
Wala hujanikosea..... Ila umenipa kazi ya kufuta moja ya sifa nilizokuwa nimezibainisha za yule ninayemzimikia!
Ndio maana nimesema hivyo kwa sababu nimegundua kuna madhara juu ya kauli yangu baada ya wewe kurespond.

Mimi tayari nishafuta kauli yangu.
 
Ndio maana nimesema hivyo kwa sababu nimegundua kuna madhara juu ya kauli yangu baada ya wewe kurespond.

Mimi tayari nishafuta kauli yangu.
Nakupendea ustaarabu wako....wacha nikaongeze sifa hii kwenye bandiko langu!
Kauli yako imefutika rasmi. Lala unono kwa amani
 
Nakupendea ustaarabu wako....wacha nikaongeze sifa hii kwenye bandiko langu!
Kauli yako imefutika rasmi. Lala unono kwa amani
Hapo sawa sasa moyo umezuuzika.

Na wewe lala unono hadi uote upo lindoni!
 

Ebu muachage vituko bana.

Kuna mwingine aliamka usiku akakuta bwana wake Abdala kichwa kipara anasearch network akaanzisha hadi uzi kuulizia hiyo hali ni kawaida au la..

Jinsi nilivyomjibu nikifikiria hadi nacheka sanaa

niambie basi jamani na mimi hilo jibu nina kazi nalo
 
Mm Nataka kulala maana naona nikibana Mapaja maumivu ya kijipu uchungu tu hapa sna raha wananiambia Eti niache mpk kiive limekuwa embe hili

huo mchanuo style uliolala leo wakipita wapiga chabo kazi wanayo
 
Back
Top Bottom