Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Mgombea wa Urais anayetarajiwa kupata ushindi mkubwa Tundu Lissu leo ataitetemesha Chato na viunga vyake katika kampeni zake zilizoivuta Dunia.

Taarifa kutoka ndani ya Team yake ya Kampeni kabla ya kuhutubia mkutano wa Hadhara atautembelea Uwanja wa ndege wa Chato uliozua gumzo nchini kote kutokana na Ujenzi wake...
Asante sana nafuatilia kwa karibu sana tafadhali tujuze kinachojiri hasa kwa picha mambo haya muhimu kwa ukombozi wa Tanzania yetu.
 
Hii hesabu feki. Tanzania ni kubwa sana, hakukuwa na sababu ya Lisu kurudi kanda ya ziwa mara ya tatu. Anapoteza muda wake na resources, wasukuma hawezi kuacha kumpa kura mtu wao.
Bora yeye kuliko kusomba watu wa kila kona ya Dar na leo tena kuwapeleka Tanganyika perkazi
 
Itamsaidia nini au itakusaidia nini wewe hapa?ni kama mnaoteza muda tu,kama ninyi wengine ni watu wazima kuweni busy kutafutia familia zenu mtoke kwenye umasikini kuliko kupambaia ajira ya mtu ambaye hata akienda huko unakotaka atakutazama tu na shida zako
Danganya wapumbavu. Tanzania ya Leo siyo ya Jana. Mwanangu ni mfanyakazi hajaongezewa mshahara miaka 5 na pia mmeamua kuiba Mafao yake unataka tusitafute mtu atakayerudisha heshima ya mfanyakazi?
 
Taarifa kutoka Chato, zinasema mtawala Muovu amewatuma MaCCM usiku wamewavamia Wana Chato wanaomsubiri kwa hamu kubwa MBEBA MAONO.

Magufuli na MaCCM si museme tu kama ni kweli, uwanja wa ndege CHATO ni chaguo la wananchi katika mahitaji yao.
Sasa hili nalo ni GUMU.

Ndio basi tena!
 
Chato nzima Imesimama wana Chato wameamua kuthibitisha kuwa Nabii hakubaliki kwenye nchi yake.

Watu wamekesha Barabarani kumsubiri Liasu wafanyakazi wameahidi kutoenda kazini, wafanyabiashara hawafungui Maduka ,Hakika saa ya ukombozi ni sasa.
Tuchague lipi? mara mumechomewa nyumba mara watu wamekesha nje,
 
kutembelea uwanja wa ndege Chato ni kichekesho. CHADEMA bana...hata hawajielewi
Anzeni kutafuta majibu ya maswali aliyiukiza akiwa Singida. Alisema anawatumia maswali mapema muanze kuulizana hapo Chato msijekusema amewashitukiza! Swali kubwa ni huo uwanja unawasaidiaje nyie watu wa Chato? Swali la pili ni Mwanachato yupi ameshautumia huo uwanja kupanda ndege?
 
Mgombea wa Urais anayetarajiwa kupata ushindi mkubwa Tundu Lissu leo ataitetemesha Chato na viunga vyake katika kampeni zake zilizoivuta Dunia.

Taarifa kutoka ndani ya Team yake ya Kampeni kabla ya kuhutubia mkutano wa Hadhara atautembelea Uwanja wa ndege wa Chato uliozua gumzo nchini kote kutokana na Ujenzi wake.

Tundu Lissu amepata uungwaji mkono mkubwa kutoka Makundi yote ya Jamii hususan Wafanyakazi ambao wanalaani kupitishwa kwa sheria Haramu ya kupora Mafao yao. CCM na serikali yake walipitisha sheria ya kuzuia Mafao ya Wafanyakazi hata Kama ameacha kazi akiwa na miaka 30 haruhusiwi kupewa haki yake ya mafao mpaka afikishe miaka 60.Sheria hii Haramu imelaaniwa na kila mfanyakazi na Tundu Lissu ameapa kuifutilia mbali Mara tu baada ya kuapishwa.

Ingawa Chato ni nyumbani kwa mgombea Urais wa CCM Lakini kwa muda mrefu Chadema imekuwa na uungwaji mkono mkubwa na inao wafuasi wa kutosha.Mmoja wa makamanda mashuhuri wanaotokea Chato ni mwanamama Husna Amri ambaye anajulikana nchi nzima kwa ujasiri wake.

Tunatarajia kuwaletea kila kitakachojiri katika mapokezi na Mkutano wa Kampeni hapa Chato.
Hahaha very interesting
 
Chato nzima Imesimama wana Chato wameamua kuthibitisha kuwa Nabii hakubaliki kwenye nchi yake.

Watu wamekesha Barabarani kumsubiri Liasu wafanyakazi wameahidi kutoenda kazini, wafanyabiashara hawafungui Maduka ,Hakika saa ya ukombozi ni sasa.
Nabii hakubaliki kwenye nchi yake kwa sababu wanamjua toka kuzaliwa kuwa kwa tabia na matendo yake hawezi kuwa Nabii wa kweli bali kama Vitabu vanavyosema atakuwa Nabii wa uongo. Mwana umleavyo ndivyo akuavyo!
 
Mgombea wa Urais anayetarajiwa kupata ushindi mkubwa Tundu Lissu leo ataitetemesha Chato na viunga vyake katika kampeni zake zilizoivuta Dunia.

Taarifa kutoka ndani ya Team yake ya Kampeni kabla ya kuhutubia mkutano wa Hadhara atautembelea Uwanja wa ndege wa Chato uliozua gumzo nchini kote kutokana na Ujenzi wake.

Tundu Lissu amepata uungwaji mkono mkubwa kutoka Makundi yote ya Jamii hususan Wafanyakazi ambao wanalaani kupitishwa kwa sheria Haramu ya kupora Mafao yao. CCM na serikali yake walipitisha sheria ya kuzuia Mafao ya Wafanyakazi hata Kama ameacha kazi akiwa na miaka 30 haruhusiwi kupewa haki yake ya mafao mpaka afikishe miaka 60.Sheria hii Haramu imelaaniwa na kila mfanyakazi na Tundu Lissu ameapa kuifutilia mbali Mara tu baada ya kuapishwa.

Ingawa Chato ni nyumbani kwa mgombea Urais wa CCM Lakini kwa muda mrefu Chadema imekuwa na uungwaji mkono mkubwa na inao wafuasi wa kutosha.Mmoja wa makamanda mashuhuri wanaotokea Chato ni mwanamama Husna Amri ambaye anajulikana nchi nzima kwa ujasiri wake.

Tunatarajia kuwaletea kila kitakachojiri katika mapokezi na Mkutano wa Kampeni hapa Chato.
Kamanda Husna usiku wa kuamkia leo wamemvamia nyumbani kwake na kuchoma moto nyumba na mali zake mbalimbalk. MUNGU AMTIE NGUVU.
 
Anzeni kutafuta majibu ya maswali aliyiukiza akiwa Singida. Alisema anawatumia maswali mapema muanze kuulizana hapo Chato msijekusema amewashitukiza! Swali kubwa ni huo uwanja unawasaidiaje nyie watu wa Chato? Swali la pili ni Mwanachato yupi ameshautumia huo uwanja kupanda ndege?
Serengeti kuna uwanja wa ndege hautumiwi na wana serengeti hutumiwa na watalii tu
Pia zipo hoteli za kitalii Chato WATU WA CHATO huwa hawazitumii.Kutozitumia haina maana kuwa hazina faida kwao

Chato kuna mbuga imeanzishwa kubwa imeanzishwa karibuni huo uwanja utakuwa ukihudumia watalii

Mbuga hiyo hapo ya chato

 
Back
Top Bottom