Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Itamsaidia nini au itakusaidia nini wewe hapa?ni kama mnaoteza muda tu,kama ninyi wengine ni watu wazima kuweni busy kutafutia familia zenu mtoke kwenye umasikini kuliko kupambaia ajira ya mtu ambaye hata akienda huko unakotaka atakutazama tu na shida zako
Akili zako fupi sana. Yan mpk leo hujui kwamba siasa ndiyo inaamua maisha yako!! acha ujinga!
 
Kamanda Husna usiku wa kuamkia leo wamemvamia nyumbani kwake na kuchoma moto nyumba na mali zake mbalimbalk...MUNGU AMTIE NGUVU...
Sijaelewa KAMANDA!! anachomewa nyumba? KAMANDA huwa ni mtu hatari si rahisi hivyo.

Lakini kama kawaida yenu Chadema kutengeneza matukio kutafuta kick za kisiasa kila mkiona haziendi mnatumia mioto utasikia ohh ofisi ya Chadema YACHOMWA moto ohh moto moto.

Hizo picha zenyewe za moto na kubomelewa mmmmm zinatia shaka
 
Mgombea wa Urais anayetarajiwa kupata ushindi mkubwa Tundu Lissu leo ataitetemesha Chato na viunga vyake katika kampeni zake zilizoivuta Dunia.

Taarifa kutoka ndani ya Team yake ya Kampeni kabla ya kuhutubia mkutano wa Hadhara atautembelea Uwanja wa ndege wa Chato uliozua gumzo nchini kote kutokana na Ujenzi wake.

Tundu Lissu amepata uungwaji mkono mkubwa kutoka Makundi yote ya Jamii hususan Wafanyakazi ambao wanalaani kupitishwa kwa sheria Haramu ya kupora Mafao yao. CCM na serikali yake walipitisha sheria ya kuzuia Mafao ya Wafanyakazi hata Kama ameacha kazi akiwa na miaka 30 haruhusiwi kupewa haki yake ya mafao mpaka afikishe miaka 60.Sheria hii Haramu imelaaniwa na kila mfanyakazi na Tundu Lissu ameapa kuifutilia mbali Mara tu baada ya kuapishwa.

Ingawa Chato ni nyumbani kwa mgombea Urais wa CCM Lakini kwa muda mrefu Chadema imekuwa na uungwaji mkono mkubwa na inao wafuasi wa kutosha.Mmoja wa makamanda mashuhuri wanaotokea Chato ni mwanamama Husna Amri ambaye anajulikana nchi nzima kwa ujasiri wake.

Tunatarajia kuwaletea kila kitakachojiri katika mapokezi na Mkutano wa Kampeni hapa Chato.
Jpm 2020/2025
 
Lodilofa anapenda kiki sana. Huu si ndo uwanja anaounanga na kuutukana kila siku, aangalie raia wasimpopoe na mawe maana kawabeza vya kutosha. Inafikia hatua mtu unahisi labda wananchi wa Chato sio watanzania na hawapaswi kufanyiwa lolote jema na serikali yao.
 
Unatembeleaje uwanja unaouponda kila siku? Aende akatembelee na traffic lights
Tuliaia dadaa naona unawashwa washwa ngoja mwamba afike kuangalia iyo 49B zimetumikaje.

Kujenga chato n ubinafsi tu wa Meko so tumeshamsema kwa ubinafsi wake.

Ngoja Sasa tukaangalie ufisadi wa 49B tumseme kwa Hilo maana nasikia huko mwananchi wa kawaida hafiki ngoja rais aende.
 
Mnafikiri kanda ya Ziwa hatujitambui na ujanjaujanja wa kaskazini mm nilidharau kabisa tangu tumpe Kiwia Ilemela 2010-2015 watu wa Kanda ya Ziwa tulitukanwa Sana hakuna wenyeji mpaka tulimpa chasaka Kiwia na bado akajimegea Mashamba ya dhuluma Kayenze.Kifupi tu Chadema haina chake Kanda ya Ziwa watumieni sana wafanyabiashara walioko Kanda ya Ziwa kufanya siasa za kilaghai lkn mwisho wa siku Lissu chali
Kajifunze kwanza Kiswahili ndiyo urudi hapa. Mmeishiwa sera hamna Hoja tena
 
Serengeti kuna uwanja wa ndege hautumiwi na wana serengeti hutumiwa na watalii tu
Pia zipo hoteli za kitalii Chato WATU WA CHATO huwa hawazitumii.Kutozitumia haina maana kuwa hazina faida kwao

Chato kuna mbuga imeanzishwa kubwa imeanzishwa karibuni huo uwanja utakuwa ukihudumia watalii

Mbuga hiyo hapo ya chato


Serengeti mbuga kubwa yenye maajabu haina uwanja wa kimataifa licha ya kupokea watalii duniani kote. Serengeti ina ka-airstrip kavumbi iweje chattle pawe na uwanja wa kimataifa wakati hakuna watalii kabisa? Huu ni ufisadi mkubwa!
 
Sijaelewa KAMANDA!! anachomewa nyumba? KAMANDA huwa ni mtu hatari si rahisi hivyo
Lakini kama kawaida yenu Chadema kutengeneza matukio kutafuta kick za kisiasa kila mkiona haziendi mnatumia mioto utasikia ohh ofisi ya Chadema YACHOMWA moto ohh moto moto !!!

Hizo picha zenyewe za moto na kubomelewa mmmmm zinatia shaka
Kanda ya ziwa anapoteza muda Dar imemshinda kakimbilia ambako kura hazitatosha. Kawaida ya wasukuma wao wakarimu kwa kila mgeni, ila kwa jambo lao huwezi kuwatoa, somo la magufuli walishalielewa kabla hata kampeni hazijaanza.Kule ndiyo anakwenda kujizika kabisa.
 
Chato nzima Imesimama wana Chato wameamua kuthibitisha kuwa Nabii hakubaliki kwenye nchi yake.

Watu wamekesha Barabarani kumsubiri Liasu wafanyakazi wameahidi kutoenda kazini, wafanyabiashara hawafungui Maduka ,Hakika saa ya ukombozi ni sasa.
Hahaaa
 
Taarifa kutoka Chato, zinasema mtawala Muovu amewatuma MaCCM usiku wamewavamia Wana Chato wanaomsubiri kwa hamu kubwa MBEBA MAONO.

Magufuli na MaCCM si museme tu kama ni kwel, uwanja wa ndege CHATO ni chaguo la wananchi katika mahitaji yao.
Sasa hili nalo ni GUMU..
Ndio basi tena..!
Huyu Mzee kuna uwezekano akawa siyo raia halisi wa nchi ya Puerto Rico kama baadhi ya wadau wanavyo mtuhumu. Huenda kawa ni mhamiaji haramu!

Ana roho iliyojaa ukatili, ubaguzi wa vyama, ukabila na ukanda, ubinafsi, ubabe, umungu mtu, ukaidi, nk. Sifa ambazo zinafanana kabisa na zile za wazee wenzake wa nchi jirani na pia Wananchi wao. Wakati mwingine tujifunze ili makosa ya aina hii yasijirudie.
 
Mnafikiri kanda ya Ziwa hatujitambui na ujanjaujanja wa kaskazini mm nilidharau kabisa tangu tumpe Kiwia Ilemela 2010-2015 watu wa Kanda ya Ziwa tulitukanwa Sana hakuna wenyeji mpaka tulimpa chasaka Kiwia na bado akajimegea Mashamba ya dhuluma Kayenze.Kifupi tu Chadema haina chake Kanda ya Ziwa watumieni sana wafanyabiashara walioko Kanda ya Ziwa kufanya siasa za kilaghai lkn mwisho wa siku Lissu chali
Kanda ya ziwa watu poa hawana ukabila ukiondoa magu, usiwaletee watu ukabila.

Hawajui mambo hayo.
 
Nikuulize economic benefit ya hoteli ya kitalii kama hii hapa iliyoko Chato ni nini?

Bado haujajibu swali langu je mwananchi wa chato ujenzi wa uwanja wa ndege chato ndio kipaumbele chake? Utamsaidia nini mwananchi wa chato?
 
Kuna watu ni sijawahi ona, uwanja wa Chato uwanja wa Chato, hivi Chato ni wananchi wa wapi? Wao hawana haki ya kuwa na uwanja? Mbona mnakuwa wapumbavu kiasi hiki?

Mnatukana kila siku Chato utafikiri wao hawatakiwi kuwa na uwanja. Kwa taarifa yenu wananchi wa Chato si wajinga, muulizeni mgombea wenu alichokipata Buselesele na Katoro hadi akasitisha kwenda Chato, haya yote ni siasa mbovu isiyo na staha, hata kama unachallenge tumia lugha rafiki, don't be so biased to that extent, watu wa Chato amewatukana sana, Buselesele na Katoro yalikuwa maeneo ya upinzani lakini kutokana na dharau za Lissu matokeo yake CHADEMA leo inazomewa, Lissu asingezomewa Buselesele kwa namna ile, Awe na akiba ya maneno kwani anaowatukana wanasikia .

Inashangaza sana unatukana halafu bado eti unaenda kuwaomba kura, unatukana barabara kujengwa huku unazitumia, unatukana ndege huku unazipanda huo ni U CHICHIDODO.

Hopeless kabisa , let's stay tuned leo.
We ndo mshamba kweli yani umedanganywa na ile video ya editing ata mjinga amejua ile ni edit
Kwa ambaye ameona ile video lisu alikuwa amevaa kanzu

Nimeona pia video ya buselele lisu anapita wale vijana wameandaliwa na CCM kushika mabango yaliyochongwa na ccm
Tume imeendelea kuchelewesha majibu katika majimbo kadhaa, jimbo la Iramba Magharibi lenye mgombea Jesca Kishoa, dada makini kabisa, madiwani wake wote wameenguliwa katika uchaguzi kwa sababu ambazo hazina msingi kabisa....

Duuh,halafu kuna wajinga wanasema uchaguzi ni huru
 
Na labda kukuibia Siri ili ukasirike zaidi Lissu atafungia kampeni Kanda ya Ziwa kwa siku 3 za mwisho
Lodilofa anapenda kiki sana.. Huu si ndo uwanja anaounanga na kuutukana kila siku, aangalie raia wasimpopoe na mawe maana kawabeza vya kutosha. Inafikia hatua mtu unahisi labda wananchi wa Chato sio watanzania na hawapaswi kufanyiwa lolote jema na serikali yao
Kweli Lissu amekuwa akiwatukana Washamba leo anaenda kukagua Uwanja huyu mtu hana aibu
 
Back
Top Bottom