Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Kuna watu ni sijawahi ona, uwanja wa chato uwanja wa chato, hivi chato ni wananchi wa wapi? Wao hawana haki ya kuwa na uwanja? Mbona mnakuwa wapumbavu kiasi hiki?

Mnatukana kila siku chato utafikiri wao hawatakiwi kuwa na uwanja. Kwa taarifa yenu wananchi wa chato si wajinga, muulizeni mgombea wenu alichokipata Buselesele na Katoro hadi akasitisha kwenda chato, haya yote ni siasa mbovu isiyo na staha, hata kama unachallenge tumia lugha rafiki, don't be so biased to that extent, watu wa chato amewatukana sana, Buselesele na Katoro yalikuwa maeneo ya upinzani lakini kutokana na dharau za Lissu matokeo yake Chadema leo inazomewa, Lissu asingezomewa Buselesele kwa namna ile, Awe na akiba ya maneno kwani anaowatukana wanasikia .

Inashangaza sana unatukana halafu bado eti unaenda kuwaomba kura, unatukana barabara kujengwa huku unazitumia, unatukana ndege huku unazipanda huo ni U CHICHIDODO.

Hopeless kabisa , let's stay tuned leo.
Blah Blah...Matusi ya Nini Sasa? Mbona huelezei pia sheria Haramu ya mafao ya Wafanyakazi? Nayo mmesingiziwa? Mmekosa Hoja kabisa
 
Kuna watu n sijawahi ona, uwanja wa chato uwanja wa chato, hivi chato ni wananchi wa wapi? Wao hawana haki ya kuwa na uwanja? Mbona mnakuwa wapumbavu kiasi hiki?

Mnatukana kila siku chato utafikiri wao hawatakiwi kuwa na uwanja. Kwa taarifa yenu wananchi wa chato si wajinga, muulizeni mgombea wenu alichokipata Buselesele na Katoro hadi akasitisha kwenda chato, haya yote ni siasa mbovu isiyo na staha, hata kama unachallenge tumia lugha rafiki, don't be so biased to that extent, watu wa chato amewatukana sana, Buselesele na Katoro yalikuwa maeneo ya upinzani lakini kutokana na dharau za Lissu matokeo yake Chadema leo inazomewa, Lissu asingezomewa Buselesele kwa namna ile, Awe na akiba ya maneno kwani anaowatukana wanasikia .

Inashangaza sana unatukana halafu bado eti unaenda kuwaomba kura, unatukana barabara kujengwa huku unazitumia, unatukana ndege huku unazipanda huo ni U CHICHIDODO.

Hopeless kabisa , let's stay tuned leo.
Tunajua mmeandaa vikosi Haramu vya kupiga watu na kurushia mawe msafara wa mgombea.Kwanini muandae vikundi Haramu? Mbona siasa imewashinda? Si mtoe Hoja kutetea huo Uwanja wenu na faida anayopata mwanaChato?
 
Exactly, hawawezi kumruhusu walivyo mashetani wakubwa. Lisu anashinda mapema asubuhi, shida ni kumtangaza! Tunafanyaje?
Hairusiwi kimataifa toka mashamba I ya kigaidi Marekani viwanja vyote vya ndege duniani unaenda ukiwa unasafiri au unadindikiza msafiri Huwezi kwenda kutalii sio mbuga ile ndio maana zamani uwanja wa Ndege wa Dar es salaam tulikuwa tukienda kutalii unapanda juu hata harusi tukienda nazo lakini vyote vilipigwa marufuku .Hivyo Huwezi kwenda eti nakuja kutalii sisafiri Wala Nini nakuja tu kutalii
 
Nahisi watamzuia kutembelea huo uwanja. Na kwakuwa huko ni nyumbani kwa mgombea yule,nina wasiwasi pia anaweza fanyiwa hujuma katika kampeni zake huko lengo kuhakikisha hapati watu au ashindwe kuhutubia.

Ni imani yangu Lissu haendi kufurahia uwanja, bali anaenda kufanya tathimini physically ya huo uwanja kwa kuingilia kilichojengwa (kupata picha ya kilichojengwa) na ulazima wake pamoja na umuhimu wa kujenga uwanja katika eneo hilo.
Itamsaidia nini au itakusaidia nini wewe hapa?ni kama mnaoteza muda tu,kama ninyi wengine ni watu wazima kuweni busy kutafutia familia zenu mtoke kwenye umasikini kuliko kupambaia ajira ya mtu ambaye hata akienda huko unakotaka atakutazama tu na shida zako.
 
Hairusiwi kimataifa toka mashamba I ya kigaidi Marekani viwanja vyote vya ndege duniani unaenda ukiwa unasafiri au unadindikiza msafiri Huwezi kwenda kutalii sio mbuga ile ndio maana zamani uwanja wa Ndege wa dar es salaam tulikuwa tukienda kutalii unapanda juu hata harusi tukienda nazo lakini vyote vilipigwa marufuku .Hivyo Huwezi kwenda eti nakuja kutalii sisafiri Wala Nini nakuja tu kutalii
Mkuu naona umeongea kwa woga sana aseeee tulia tukunyooshe tena kwenye kiwanja chako cha nyumbani tunataka muache kusema CHADEMA ni chama cha Kilimanjaro
 
Ingekuwa kujaza watu ndo kushinda ni dhahiri lowasa angakuwa rais, mrema angakuwa rais,lipumba enzi za ngunguli angekuwa rais. Tukutane kwenye ballot box tuna hasira na uchungu wa nchi hii. 5 tena
Huwezi kulinganisha Lipumba, Lowasa,Mrema na Lissu! Lissu is another level altogether! Time is running too fast!, watu sasa wanajitambua.

Angalau mnatambua kuwa watu ni wengi, kama unahutubia watu wakaondoka, unaweza sema kesho utashinda?
 
kutembelea uwanja wa ndege Chato ni kichekesho. Chadema bana...hata hawajielewi
Lissu kichwani hazimo huo uwanja umejengwa kwa ajili ya mbuga kubwa tatu zilizoanzishwa eneo hilo ili watalii watue hapo na kwenda mbugani kutalii aambiwe mbuga ipo kubwa sana tu hapo Chato ni serengeti ya kanda ya ziwa atembelee hii hapa mbuga ya Chato kama alikuwa haijui

Watalii badala ya kutua Mwanza watatua hapo na kuelekea mbugani

Lissu anapiga vita sana maendeleo ya usukumani

 
Exactly, hawawezi kumruhusu walivyo mashetani wakubwa. Lisu anashinda mapema asubuhi, shida ni kumtangaza! Tunafanyaje?
Hilo ndo swali kuu.Bila kupata majibu ya swali hilo yote yanayofanyika sasa ni kazi bure but let's hope Tume itamtangaza yeyote atakayeshinda.
 
Back
Top Bottom