This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,897
- 4,964
Hujitambui wala hujielewi.Tar 28 tutajua nani anajitambua kati yenu na sisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujitambui wala hujielewi.Tar 28 tutajua nani anajitambua kati yenu na sisi
Kaa kimya ufiche upumbavu wako ,huna hoja,huna ujualo.Wewe una akili gani hapo ulipo?
Huko wameachiwa ActKila la heri Rais mtarajiwa Tundu Lissu...asije akasahau pia mikoa ya Tanga, Morogoro, Lindi na Mtwara
Na wewe acha ubwatukaji kwani nani hajui kuna mamluki wamepandikizwa kuharibu kampeni za vyama vyenye nguvu?Kuanzia leo CHATO nawaweka kwenye kundi la wananchi wanaojitambua yaani mmemuonyesha mbeligiji kwa CHATO siyo aridhi iliyolaaniwa ni mwiko kwa mashoga kukanyaga.
Kwanza mmeuthibitishia umma kwamba hizo picha zinazonyesha Lissu apokelewa umati wa wananchi CHATO ni fake, kwani vijana wengi wanaolalamika kupopolewa na mawe wanadaiwa kutoka Katoro hadi Mgombea Ubunge Jimbo la Geita mjini aka chakula ya faru John alikuwepo.
Pili Kama kweli alipokelewa na umati kama huo hakuna mtu ambaye angekuwa tayari kuanzisha vagi la kurusha mawe .
Mwisho
Lissu mwenyewe amekili kwamba wamezomewa chato na alichokiita kundi la UVCCM, asante sana wakazi wa CHATO kwa kumuadabisha mbwa huyu.