Uzima Tele
JF-Expert Member
- Jan 20, 2023
- 1,101
- 2,344
Leo mzee wa kuwachapa za uso na za kichwa tu, Tundu Lissu - Makamu Mwenyekiti CHADEMA (Taifa) leo tumefungia siku katika mji mdogo wa Mbogwe.
Kesho J'tano tarehe 2/8/2023 operesheni inaingia Wilaya Chato mkoani Geita na Tundu Lissu atahutubia mkutano mkubwa katika mji wa Chato na ratiba inaonesha kuwa atakwenda kuisalimia familia ya hayati Rais John P. Magufuli na kuweka shada la maua kwenye kaburi lake.
Wana - Chato kaeni mkao wa kupokea ugeni mkubwa wa mwamba wa siasa za Tanzania, jasiri Tundu Antipasy Mg'hway Lissu.
Kesho J'tano tarehe 2/8/2023 operesheni inaingia Wilaya Chato mkoani Geita na Tundu Lissu atahutubia mkutano mkubwa katika mji wa Chato na ratiba inaonesha kuwa atakwenda kuisalimia familia ya hayati Rais John P. Magufuli na kuweka shada la maua kwenye kaburi lake.
Wana - Chato kaeni mkao wa kupokea ugeni mkubwa wa mwamba wa siasa za Tanzania, jasiri Tundu Antipasy Mg'hway Lissu.