CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

Hawapaswi kunyamaza
Waende beyond hata kuwa na vikao vya kumpika

Ukifika zimbabwe miundombinu ni mizuri sana lakini mwisho wake mmeuona wote.

Tukubali kwamba still tunatawaliwa as africa bado hatujawa tangible kujitawala kwa mambo mengi
Sasa tusifike huko tukarudishwa nyuma
Mkuh mimi nakuelewa vzr sana,shida ni mkuu yule kukuelewa hiki usemacho ndio shughuli.
 
Ni kichaa tu ndiyo anaweza kushiriki uchaguzi huu wa kihuni
na
Ukweli na kwamba ingawa kumekuwa na baadhi ya watendaji kujiingiza kwenye kile kinachoonekana kama ushabiki wa kisiasa wagombea wa upinzani wamekuwa hawana muelekeo na matokeo yake ni kukosa haki yao.
Kwa upande mwingine, vyama vya upinzani hawana base kubwa kwenye mashina na hata hivyo mashina yao siyo mengi kushindana na yale ya chama tawala. Mimi nilidhani kuwa upinzani ungekuwa na mpango mkakati wa kumekuwa na usaidizi mdogo kwa wagombea wao kwenye kujaza hizo fomu.
Kuna kesi moja niliona ambapo kwenye fomu ya kugombea wa chama fulani, kwenye wadhamini wake kuna wengine wametanguliza jina la pili na mwengine ameweka jina moja rasmi na jingine la utani[ambalo ni maarufu]. Kwenye hali kama hii, wakulaumiwa na pande zote na ninadhani kipindi hiki cha rufaa wakitumie kurekebisha dosari hizo kwa msaada wa viongozi wao vinginevyo upepo wa kisulisuli unaweza kuwakumba vibaya sana. Suala la kususa halisaidii kwani chakula hakiwezi kuachwa mezani kikidoda ni lazima kitapata walaji. Asitokee mmoja wetu akalia njaa baadaye.
 
na
Ukweli na kwamba ingawa kumekuwa na baadhi ya watendaji kujiingiza kwenye kile kinachoonekana kama ushabiki wa kisiasa wagombea wa upinzani wamekuwa hawana muelekeo na matokeo yake ni kukosa haki yao.
Kwa upande mwingine, vyama vya upinzani hawana base kubwa kwenye mashina na hata hivyo mashina yao siyo mengi kushindana na yale ya chama tawala. Mimi nilidhani kuwa upinzani ungekuwa na mpango mkakati wa kumekuwa na usaidizi mdogo kwa wagombea wao kwenye kujaza hizo fomu.
Kuna kesi moja niliona ambapo kwenye fomu ya kugombea wa chama fulani, kwenye wadhamini wake kuna wengine wametanguliza jina la pili na mwengine ameweka jina moja rasmi na jingine la utani[ambalo ni maarufu]. Kwenye hali kama hii, wakulaumiwa na pande zote na ninadhani kipindi hiki cha rufaa wakitumie kurekebisha dosari hizo kwa msaada wa viongozi wao vinginevyo upepo wa kisulisuli unaweza kuwakumba vibaya sana. Suala la kususa halisaidii kwani chakula hakiwezi kuachwa mezani kikidoda ni lazima kitapata walaji. Asitokee mmoja wetu akalia njaa baadaye.
Kwahiyo unataka kutuaminisha kwàmba mwaka huu ndio uchaguzi wa kwanza wa serikali za mitaa kwa vyama vya upinzani kushiriki?

Hivi humo kichwani umejaa makamasi?
 
Gomeni tu ata uchaguzi mkuu wa jiwe, wabunge plus madiwani mwakani

Tusha zoea saivi kwa matamko ndo upinzani wenyewe huo, uku wengine tusha anza kusifu na kuabudu malaika.
 
Majuzi niliandika uzi nikisema kuwa sitapiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kwa sababu ya majibu mepesi ya viongozi husika hasa Mr. Suleiman Jafo. Haiwezekani uhuni utendeke nchi mzima na kiongozi hakemei wala kufuta zoezi zima badala yake anasema ni RAFU ZA KISIASA na kwamba tuchukulie poa tu.

Jana CHADEMA chama kikuu cha upinzani kimesusia uchaguzi na Jafo anaibuka na kuongea mambo mepesi mpaka unaanza kujiuliza kuwa huyu mtu alipimwa IQ yake kabla hajapewa cheo kikubwa namna ile?

Ndio njaa ya madaraka na fedha ndio vinamfanya autupe utu mbali kabisa na kuanza kutimiza matakwa ya aliyemtuma.
Mr. Suleiman Jafo historia haidanganyi, utadharaulika mpaka siku utaingia kaburini. Sasa una jambo moja tu la kufanya ili kuendelea kuiimarisha heshima yako kwa watanzania(si kwa viongozi).
 
Kwahiyo unataka kutuaminisha kwàmba mwaka huu ndio uchaguzi wa kwanza wa serikali za mitaa kwa vyama vya upinzani kushiriki?

Hivi humo kichwani umejaa makamasi?
Endelea kukamua makamasi. Baada ya uchaguzi uliopita niliwatahadharisha kwamba bila ya umoja wenu na kuwa na genuine and practical SP hamuwezi ku-sustain level ya ushindi kwa sababu JPM ameenda chini kwa wananchi tangu day one sana sana mlinibeza. Maandamano siyo tija na kwa hivi sasa mmechelewa kwani kuna migongano ndani ya vyama na vile vile hakuna umoja kati ya vyama pinzani and for sure there is no way mkapata kura kama mlivyopata miaka 4 iliyopita.
 
Majuzi niliandika uzi nikisema kuwa sitapiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kwa sababu ya majibu mepesi ya viongozi husika hasa Mr. Suleiman Jafo. Haiwezekani uhuni utendeke nchi mzima na kiongozi hakemei wala kufuta zoezi zima badala yake anasema ni RAFU ZA KISIASA na kwamba tuchukulie poa tu.

Jana CHADEMA chama kikuu cha upinzani kimesusia uchaguzi na Jafo anaibuka na kuongea mambo mepesi mpaka unaanza kujiuliza kuwa huyu mtu alipimwa IQ yake kabla hajapewa cheo kikubwa namna ile?

Ndio njaa ya madaraka na fedha ndio vinamfanya autupe utu mbali kabisa na kuanza kutimiza matakwa ya aliyemtuma.
Mr. Suleiman Jafo historia haidanganyi, utadharaulika mpaka siku utaingia kaburini. Sasa una jambo moja tu la kufanya ili kuendelea kuiimarisha heshima yako kwa watanzania(si kwa viongozi).
Jaffo tusimlaumu jaman mbona ni kiongozi mzuri tu kilichomponza nape wataka kimkute na jaffo???mwache alinde kibarua ana familia yamtegemea
 
Naona mshipa wako wa aibu ulishakatika kitambo sana.
Endelea kukamua makamasi. Baada ya uchaguzi uliopita niliwatahadharisha kwamba bila ya umoja wenu na kuwa na genuine and practical SP hamuwezi ku-sustain level ya ushindi kwa sababu JPM ameenda chini kwa wananchi tangu day one sana sana mlinibeza. Maandamano siyo tija na kwa hivi sasa mmechelewa kwani kuna migongano ndani ya vyama na vile vile hakuna umoja kati ya vyama pinzani and for sure there is no way mkapata kura kama mlivyopata miaka 4 iliyopita.
 
Kwani hata kama mngeshiriki mgeshinda? Mmekimbia aibu ambayo mngepata, hamna lolote

Mkuu hivi inakuaje 90% ya wagombea wanakosa vigezo bro huoni hii sio fair ground me sipo upande wowote ila huu upuuzi unaungwa mkono na wapuuzi wachache kama wewe
 
Hongereni cc ya CHADEMA kwa kudumisha amani maana nina uhakika moto uliokuwa unakwenda kuwaka usingezimika kirahisi bila kuunguza wasio na hatia.

Ila niwalaumu pia cc ya CHADEMA kwa kutoa maamuzi ya kuendelea kuwa wanyonge.
Huku mtaani tulikuwa tunakinukisha na matajiri au maccm wote wenye uwezo wangekiona cha moto, ilikuwa ni kuwavamia hata wanaojiita wabunge kupora na kuchoma nyumba zao kwani huku wananchi wamechoka na wanatafuta tu chanzo, mlipaswa mtangaze kuwa watakachokiamua wananchi ni sawa na mkaishia hapo.

Lakini pia siwalaumu sana maana mmetengeneza mazingira mazuri 2020, watanzania wengi wanamchukia Magufuli na hawachukii uchaguzi serikali za mitaa wanasubiri kuona uchaguzi wa 2020 utakavyokuwa ili wakinukishe, hivyo mmesaidia kupoza hasira ili hasira zijae zaidi, mngeruhusu wananchi waamue wangeharibu na jiwe kwa sifa angeachia polisi wengi kutesa wachache na wananchi wangekata tamaa kuonyesha makucha 2020.

Plan ya jiwe imefeli kwani alitamani kuwatishia wananchi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ili waogope kuchomoza makucha 2020.

Hongereni sana cc ya CHADEMA kwa kuwa na akili kubwa ya kuona mbali.

Jiwe 2020 ndio mwisho wa ubabe wake na hao vibaraka wake.
 
Tatizo tulizoea siasa za ulaghai

Amekuja Mzalendo Magufuli yeye ni kutenda sio kuongea!

Mtakuja kuelewa kwamba Magufuli Ni jiniasi mkiwa mmeshasambaratika

Badilisheni aina ya siasa, Magufuli is there for more years to come
 
Tabia ya kususa ni sawa na ile ya wizi kulingana na wataalumu wa psychology inakua kama mimba chadema hawakuanza kususia Leo

1. Walianza kususia kutohudhuria vikao VYAMA bunge pale mmoja wao anapopewa adhabu kwa mujibu wa kanuni za bunge ili kumbackup mbele ya kiti cha spika hii inetokea mara nyingi tu

2.mimba hii ya ususaji ikakua na wakaingia kususia vikao ya madiwani huko kwenye mabalaza ya halmashauri na manispaa na jiji,mfano arusha ,Nyamagana na ilala tabia ikakua

3.wakaanza kususia hotuba za rais kikwete kwa kile walichokiita ubanaji wa democracy nchini 2010 rais kikwete alipohutubia bunge waliondoka hata alipokuja kulifunga walikimbia ,mimba kama tabia ikakua

4.walisusia vikao vya bunge la katiba huku wakiwa wamesha piga posho zote ,wakawashauri wenzao wa ukawa wakakimbia na pesa za watanzania maskini ,mimba ikakua

5.wakasusia hotuba ya kwanza ya ufunguzi wa bunge ya rais magufuli kama walivyo susia zile za kikwete japo sasa wanasema eti kikwete alikuwa mwanademokrasia ,mimba ikakuwa

6.wakaanza kususia chaguzi ndogo za madiwani na wa bunge(by election) hii pia mimba zikakua

7.wamesusa uchaguzi huu Leo na siku si nyingi watasusa uchaguzi mkuu

My take: kwa wenye mamlaka ya kufuta vyama futeni hiki chama tubaki na vyama vya kupambana bila kususasusa kama chadema


State agent
 
Back
Top Bottom