Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo Wapinga Matokeo, Wataka Uchaguzi Urudiwe, pia NEC na ZEC zivunjwe

Upuuzi mtupu. Utashangaa, na ndege tano twanunua toka Boeing na zitafika salama. Ingieni barabarani muipate ya moto moto, mita 10 mwisho zaidi ya hapo nyonga zitagawanywa. Nawasubiri juma tatu nyuma ya keyboard.
Posho zitawatoa zoro walahi! Siyo kwa matusi haya kakha! Kijani si mmeshinda nchi nzima? Uoga wa nini tena
 
Kwa nini hamkwenda kupiga kura?? Hata First Lady wenu hakuja hata kupiga kura toka huko Ubelgiji, kwanini?
Tume ilikuwa na matokeo tayari MFUKONI, njia pekee kwa sasa ni maandamano yasiyo na kikomo. Tutaelewana tu.
 

Attachments

  • Kura milioni 12 za Magufuli.mp4
    203.6 KB
Umeona na wewe umeandika vya maana. Watu wa kijani bwana mnajiona wa maana na mna akili sana.. kumbe bure kabisa. Huu uchanguzi strategic za wizi mlifeli sana yaani hata mtoto wangu wa miaka mitano anajua? Mmebakiza matusi na kusifia na kumendea posho. Shame!!
Hasira za kukosa ruzuku imekula kwenu.Wazee wa matamko, Magufuli hawezi tekeleza utopolo wenu labda bwana wenu Amsterdam. Huko barabarani uingie kupambania mwenye kura 1M,si ulofa huo. Mita kumi mwisho.
 
Amsterdam vipi tena si alisema anakusanya ushahidi wa kuupeleka ICC kuishitaki serikali imekuwaje tena?

CDM bure kabisa
 
IMG_20201031_154146_042.jpg
 
Waweke hela mezani, uchaguzi urudiwe. Hakuna kodi ya mtanzania itakayo tumika kiboya, katika mambo ya mchezomchezo.

Hata uchaguzi urudiwe mara 1000, hakuna namna yoyote ile inayoweza kumfanya Lissu amshinde magufuli.
 
Uchaguzu huuu umenifanya niamini kuwa Tatizo la wapinzani sio CCM, ila Tatizo ni Wafuasi wanachama na wapenzi wa Vyama vya Upinzani hata CHADEMA.

Hawa watu hawana AKILI KABISA YANI NI WAJINGA WASIO NA MFANO WAKE... Ivi kwa akiki ya Kawaida tu Mnasapoti Mbowe kuwa muingie barabarani ili Uchaguzi urudiwe Mbona mnapelekeshwa Hivi vijana wenzangu. Hivi ni lini na wapi mlishaowahi kuona watanzania Wakishiriki UPUMBAVU Wa wapinzani 😡😡😡😡 Si Marekani wala Canada Wanaweza badilisha Matokeo ya uchaguzu huu.

Niko Mwanza Kumetulia na Shughuli zinaendelea kama kawaida ya Mkoa huu Wavuvi wapo Kazini Wafanya Bishara wanaendelea na Shuhhuli kama kawaida na Watu wanachojisema ALITUMWA NA MABEBERU WAMEMKOMESHA SO HATA KAMA WAMEIBA WANANCHI WANACHUFURAHI KIBARAKA KAKOMESHWA...

. Msiwadharau Watanzania Kabisa Mlichokoses Wapinzani Nibkutegemea sana MATIFA YA NJE NDIO YAAMUE UCHAGUZI HUU NA MLIJINADI KWA SAUTU KUBWA MAJUKWAANI MARA MWANASHERIA AMSTERDAM MARA THE HAGUE.....Asili ya Mwafrica Huwa hampendi mzungu kabisa Embu tembeenii Duniani Muone reaction ya mzungu kwa MTU mweusi.....

NILITEMBELEA BRAZIL WAKATI FURANI KAMA MNAVYOJUA UKITOA AFRICA NCHI NYINGINE YENYE WEUSI WENGI NI BRAZIL .....Nilikaaa kwenye mgahawa mmoja nikawa nakunywa chai, akaja Mdada mmoja mweuzi mbrazil alivyoniona tu akajua Mimi sio mbrazil akaniuliza natokea wapi nikamtajia alikuwa na furahaa sana pia alikuwa na hamu ya kufikaa Tanzania au nchi yoyote ya kiafrica. Nenda Kansas Nenda Chicago nenda Alabama Wafrica wanavyoishi ni saws kabisa tunavyoish huku upendo ni wao kwa wao ukiwaletea habari kwamba mzungu ndiio mkumbozi unaweza kula makofii🤣😂🤣🤣.

Nachotaka kusema ni kwamba Wakati mwingine mnapokampeni ogopeni kabisa kuhusisha Wazungu na watu weusiii hamtakuja fanikiwa TUNDU LISSU WALIOMEFILISHA SIO WAPUGA KULA... AMEFELISHWA NA MABEBERU

Kutaka watu waandamane ni kituko haoa wanaopumbazwa ni wananchii tunaita Danganya Toto Wanajua kabisa hakuna kitu kama icho ACHENI UJINGA, Hangaikieni Maisha yenu na Familia zenu Kuhangaika ili Jinan Lissu na kina Mbowe wapate ulaji ni upuuuziii ....

Hongera Ndugu John's Pombe Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Raid wetu🙏🏾🙏🏾🙏🏾
 
Waweke hela mezani, uchaguzi urudiwe. Hakuna kodi ya mtanzania itakayo tumika kiboya, katika mambo ya mchezomchezo.

Hata uchaguzi urudiwe mara 1000, hakuna namna yoyote ile inayoweza kumfanya Lissu amshinde magufuli.
Great. Lissu huyu Mbeligiji milele na milele hawezi kuwa Rais wa Watanzania.
 
Lissu na Mbowe ni mabwege fulani wanataka kuharibu amani yetu... hawatafanikiwa kamwe na wajiandae kudaiwa na mabwana zao
 
Vyama vya upinzani chadema na Act wazalendo vyaitisha maandamano nchi nzima yasiyo na kikomo, ili kushinikiza tume na serikali irudie uchaguzi. Wapenzi wa chadema na wakeretwa wa demokrasia mnaombwa kuunga mkono maandamano hayo yanayotegemewa kuanza jumatatu November 2
 
Lissu na Mbowe ni mabwege fulani wanataka kuharibu amani yetu... hawatafanikiwa kamwe na wajiandae kudaiwa na mabwana zao
Rais aliapa kulinda AMANI na MUUNGANO. Kwenye tunu ya amani kipenzi cha watanzania hataki mchezo. Mabaga nakuonea huruma, hiyo safari yako ya 18/12 inaweza futika wewe jifanye chizi.
 
Na wale wabunge wao walioshinda inakuwaje? Hawata ingia bungeni sio
 
Matokeo ya uchaguzi huu nadhani yatawafanya ninyi mleta mada " to be back to your senses"! Na muache ku"behave" kama mna mbadala wa nchi yetu Tanzania. Tuna Tanzania moja hatuna mbadala wake. Ukijua hilo lazima utulize akili.
 
Unafokafoka nini sasa? Maandamano ni swala la halali na haki ya raia. Maandamamo ni kati njia za kuwasilisha ujumbe, na hufanyika duniani kote! Sema wengi wenu hapa nyumbani ni mateka wa fikra, Polepole akishakuambia kitu chochote unakimbilia kuhalalisha tu kwa ujinga! Watu wanahisi
Wamedhulumiwa, Kwanini wasioneshe hisia zao?!

Huo umateka wa fikra jisemee mwenyewe na moyo wako. Kuvunja maandamano ya amani nayo ni haki ya kisheria oale ambapo mandanano ya amani yatahatarisha amani iliyoko na uharibifu wa mali za watu. Sasa kama wako vibaja kama wewe ambao wabaona maandamano ni fursa lazima wanyamazishwe.

Msisitizo ni viongozi wanaohamasisha maandamano wajibishwe kwa matendo yao.
 
Back
Top Bottom