Lete hela nikusaidie kama huwezi kuandika mkuu. Sifanyi kazi bure mm.We mbona hujaandika kwa Kiingereza? Ovyoo
Ila nakutania tu, upo vizuri Sana kwenye kizungu. Kuna pahala nilikumwagia sifa.
Lete hela nikusaidie kama huwezi kuandika mkuu. Sifanyi kazi bure mm.We mbona hujaandika kwa Kiingereza? Ovyoo
Hamna kitu hapo, watanzania sio manyumbu kama chama cha Mbowe.CCM walidhani uchaguzi ni mchezo wa kombolela, kumbe ngoma bado mbichi.
Posho zitawatoa zoro walahi! Siyo kwa matusi haya kakha! Kijani si mmeshinda nchi nzima? Uoga wa nini tenaUpuuzi mtupu. Utashangaa, na ndege tano twanunua toka Boeing na zitafika salama. Ingieni barabarani muipate ya moto moto, mita 10 mwisho zaidi ya hapo nyonga zitagawanywa. Nawasubiri juma tatu nyuma ya keyboard.
Tume ilikuwa na matokeo tayari MFUKONI, njia pekee kwa sasa ni maandamano yasiyo na kikomo. Tutaelewana tu.Kwa nini hamkwenda kupiga kura?? Hata First Lady wenu hakuja hata kupiga kura toka huko Ubelgiji, kwanini?
Hasira za kukosa ruzuku imekula kwenu.Wazee wa matamko, Magufuli hawezi tekeleza utopolo wenu labda bwana wenu Amsterdam. Huko barabarani uingie kupambania mwenye kura 1M,si ulofa huo. Mita kumi mwisho.Umeona na wewe umeandika vya maana. Watu wa kijani bwana mnajiona wa maana na mna akili sana.. kumbe bure kabisa. Huu uchanguzi strategic za wizi mlifeli sana yaani hata mtoto wangu wa miaka mitano anajua? Mmebakiza matusi na kusifia na kumendea posho. Shame!!
Jidanganyeni. Mtaozea segerea wakati mwenyekiti wenu anakula faru John wake.Lazima wa kwenda ICC watapatikana kupitia maandamano haya.
Great. Lissu huyu Mbeligiji milele na milele hawezi kuwa Rais wa Watanzania.Waweke hela mezani, uchaguzi urudiwe. Hakuna kodi ya mtanzania itakayo tumika kiboya, katika mambo ya mchezomchezo.
Hata uchaguzi urudiwe mara 1000, hakuna namna yoyote ile inayoweza kumfanya Lissu amshinde magufuli.
Rais aliapa kulinda AMANI na MUUNGANO. Kwenye tunu ya amani kipenzi cha watanzania hataki mchezo. Mabaga nakuonea huruma, hiyo safari yako ya 18/12 inaweza futika wewe jifanye chizi.Lissu na Mbowe ni mabwege fulani wanataka kuharibu amani yetu... hawatafanikiwa kamwe na wajiandae kudaiwa na mabwana zao
Angalia ugoko wako huo! Ukipitiwa na zana ya kurekebisha tabia utulie na maumivu yako!Lazima wa kwenda ICC watapatikana kupitia maandamano haya.
Unafokafoka nini sasa? Maandamano ni swala la halali na haki ya raia. Maandamamo ni kati njia za kuwasilisha ujumbe, na hufanyika duniani kote! Sema wengi wenu hapa nyumbani ni mateka wa fikra, Polepole akishakuambia kitu chochote unakimbilia kuhalalisha tu kwa ujinga! Watu wanahisi
Wamedhulumiwa, Kwanini wasioneshe hisia zao?!