Kafie mbele huko.Usithubutu kuandamana. Tafadhali ambia na ndugu zako
Watafute njia za amani kushughulikia hoja zaoKama imekukera kunya tikiti tukate tule.
Bora umeelewa. Watanzania hatuko tayari kufanywa shamba la bibi kwa uroho wa madaraka wa baadhi ya wanasiasa. Mambo yakiharibika wao hawaumii bali watanzania wa hali ya chini ndio watalipa hizo gharama. Mimi nimekataabadili jina la uzi
maana ulichouliza na kuongea ndani ni vitu viwili Tofaut
Hujui kuwa hivo vyama vingine, baadhi vilianzishwa na ccm na vingine vimenunuliwa na ccm. So, kimsingi hivyo vyama mamluki vinamilikiwa na ccm!!!Vyama hivi havikupaswa kuvitenga vyama vingine vya upinzani kwenye hili. Kama malalamiko yao yana msingi basi ilipaswa vyama vingine vya upinzani viwaunge mkono. Kukosekana kwa vyama hivyo kunawakata mkia katika mpango huo wao.
Mkuu upo darasa la ngapi?!Nitapigania amani ya nchi hii mpaka tone la mwisho la damu yangu. Siwezi hata kidogo kuruhusu uvunjifu wa amani etinili mtu flani aende ikulu. Nasema hapana na nikiwa Kama raia ninayejitambua, nachukua fursa hii kuvitaka vyombo vya ulinzi na usalama vucbukue hatua stahiki haraka iwezekanavyo na vikizembea namuomba Rais aviwajibishe Mara moja.
Tanzania ndio inapokea wakimbizi na kamwe watanzania hawawezi kuwa wakimbizi.
I wish ningekuwa na mamlaka flani
Kulinda amani hakuhitaji uwe darasa fulaniMkuu upo darasa la ngapi?!
We mmoja ukipinga hakuna shidahili jambo la maandamano nitalipinga mpaka ninaenda kaburini.
Kudai amani bila HAKi kwanza Ni upimbiKulinda amani hakuhitaji uwe darasa fulani
Watampigia tena uchaguzi ukirudiwaNa waliompigia kura magufuli haki zao wanadai wapi sasa na wao?
Haki ipi bhana wewe mtu ameshachaguliwa na wabongo walio wengi bhanaKudai amani bila HAKi kwanza Ni upimbi
Kama sio ajira ni nini? Acha zereu hizo.Nyinyi ni walewale wenye mawazo ya kimaskini.
Bodaboda ni ajira gani ya vijana kujivunia?
Hizi ndio imani zenu za kijinga kwayo mnadhani walio ipigia CCM wapo 1M.Milion 12 ni wa NECCCM Tumeccm wakurugenziccm na Polisiccm siyo watanzania halisi kwa kifupi CCM imepanyikwa ikulu kwa kura za kutengenezwa tu kwa njia haramu za kishetani siyo kwa sanduku la kura