Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,534
- 25,831
Sawa, tusubiri tuone.Watapewa na mabeberu.
Sawa, tusubiri tuone.Watapewa na mabeberu.
Kigogo na Amstadamu wamesema uchaguzi utarudiwa 😂😂😂
Na makamanda utaona wana coment kwa furaha huku wakimshukuru kigogo!Kigogo na Amstadamu wamesema uchaguzi utarudiwa
Hivyo vyama vingine unaweza kuwasaidia kutoa tamko,ukiona vipi meza wembeLeo tarehe 31.10.2020 vyama viwili vya upinzani vya CHADEMA na ACT - wazalendo vimetoa tamko la kutotambua matokeo ya uchaguzi mkuu na kuitisha maandamano ya nchi nzima kuanzia jumatatu ya tarehe 02/11/2020...
Nitapigania amani ya nchi hii mpaka tone la mwisho la damu yangu. Siwezi hata kidogo kuruhusu uvunjifu wa amani etinili mtu flani aende ikulu. Nasema hapana na nikiwa Kama raia ninayejitambua, nachukua fursa hii kuvitaka vyombo vya ulinzi na usalama vucbukue hatua stahiki haraka iwezekanavyo na vikizembea namuomba Rais aviwajibishe Mara moja.Mleta mada ulishawahi kuolewa?
Kama bado, basi tafuta sasa mume. Na kama umeshaolewa basi tulia kwa mumeo.
Acha mambo ya kindezi.
Kwani hujaona kuwa navyo vimetoa tamko la kumuunga mkono mzee baba? Kwahiyo hapo nani kamtenga mwenzake? Na kwa tamko lao lilivyo nadhani Mbowe hakukosea!Leo tarehe 31.10.2020 vyama viwili vya upinzani vya CHADEMA na ACT - wazalendo vimetoa tamko la kutotambua matokeo ya uchaguzi mkuu na kuitisha maandamano ya nchi nzima kuanzia jumatatu ya tarehe 02/11/2020...
Matusi sina shida nayo, we nitukane mpaka hasira zako ziishe zooote lakini maandamano tena yasiyo na kikomo eti kumpinga Rais ambaye amechaguliwa hairuhusiwi. Narudia tena kamwe hairuhusiwi. Nawataka polisi kuchukua hatua haraka sana vinginevyo nitaomba wawajibishwe kwa kushindwa kusimamia amani ya nchi hii.Mleta mada ni kenge tu.
Tume imeshamtangaza Rais Magufuli. Magufuli halali usingizi kuipigania nchi hii na watanzania wameona halafu watu wachache wanaotumiwa kutaka kutifanya Kama Tunisia, Libya na Zimbabwe hawawezi kuvumiliwa.Aman NI zao la HAKI.....
Usithubutu kuandamana. Tafadhali ambia na ndugu zakoWana CCM mmetuibia kweupe, badala ya kujifanya mnatupa ushauri, mkae kimya.
Sent from my G-PADLITE using JamiiForums mobile app