Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar ni kubwa wakenya wanabisha, hebu cheki...

Kutoka Kongowe, Mkuranga
Kwenda Bunju, Dar es Salaam
saa 2 dakika 4 (47.3 km)

kupitia Nelson Mandela Rd saa 2 dakika 5 (52.9 km)

kupitia Kilwa Rd/B2 saa 2 dakika 31 (61.4 km)
dar10.jpeg
 
i remember last three years sauti sol was on fire.. their schedule was tighten with a lot of music shows in europe and america.ilikuwa si jambo rahisi kuwapata sauti saut sol waje watuimbuze tz katika kipindi kama hiki cha sikukuu za mwisho wa mwaka.

ila sasa game yao imeisha na maisha ni magumu kenya so imebidi waje wa perform dar es salaam ili wapate pesa ya kula... bora uhai

somewhere in dar es salaam.


View attachment 971655View attachment 971656View attachment 971657View attachment 971658
Bro haukosei
 
Back
Top Bottom