Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tupo juu mawinguni kama liquid pub...
mamaa mamaa nakufaa
unnamed.jpeg
 
sio kwamba kususa kwao hawafatilii, la hasha,wanafatilia kila tunachopost. mda wote wanachungulia hapa. kurudi wanataka ila nafsi zinawasuta. wanajishtukia.

binafsi sitaki warudi, wabaki nje ya thread wakikodoa mimacho...uzi umetulia sana tangu kuondoka kwao. tunapost bila tension yoyote. so relaxing.
Hahahahaha!!!! Mungu anakuona
 
Back
Top Bottom