tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Itapendeza sanaBrt itaendelea mpaka kibaha bro
Itapendeza sanaBrt itaendelea mpaka kibaha bro
DuuhMji hauna umeme miez mitatuMLDC



hiyo kali ya dunia milele bora waende wakaishi kuzimu tu
Konki liquid😂😂😂
Nawahurumia sana hawa watu, Dar inawatoa jasho sasa Godwin Kunambi anakwambia Dodoma ligi yake ni pretoria, tokyo n.k
Jamaa ni shidaa anakuambia konki konki konki fireee ,,mamaa mamaa nakufa..."Konki liquid![]()
Where is that so beautifulKwa beauty hii, wanaachaje sasa kuja
View attachment 970809View attachment 970810View attachment 970811View attachment 970812
wacha na huko wakandamizwe vizuriHaha kumbe wamekimbilia thread ya kampala huku wametoka nduki.....wameenda kushoboka kwa jirani mwengine
NgorongoroWhere is that so beautiful
Hahahahaha!!!! Mungu anakuonasio kwamba kususa kwao hawafatilii, la hasha,wanafatilia kila tunachopost. mda wote wanachungulia hapa. kurudi wanataka ila nafsi zinawasuta. wanajishtukia.
binafsi sitaki warudi, wabaki nje ya thread wakikodoa mimacho...uzi umetulia sana tangu kuondoka kwao. tunapost bila tension yoyote. so relaxing.![]()
Sijajua ila i thnk ni 3 lanes dualIyo ya katkat sindio ambayo inatumika sahv