let's crack some jokes kidogo.


masikini diamond platnumz, relationship yake na haka kademu ka kikenya haijafikisha hata one month, mikosi imeanza kumuandama.
serikali ya tz imemzuia kutumbuiza ndani na nje ya tz.
naanza kuamini kauli za wazazi wangu they use to tell me when i was in my 20s.
walikuwa wananiambia niwe makini sana katika kuchagua msichana wa kudate naye, kwasababu wasichana wengine wana laana za koo zao zinazokaribisha umasikini.
huyu sio mwanamke wa kudate naye na kufikiria kuanzisha family. ukiwa naye kwenye mahusiano lazima utaandamwa na mikosi.
kama una ajira, basi out of nowhere unaweza ukapewa barua ya kuachishwa kazi.kama una business yako, inaweza kufa ghafla na ukafilisika kabisa.
View attachment 972416