Kwa phase 3 itakuwa bomba sana.. Kitu ambacho na uhakika nacho ni kuwa phase 3 na 4 zote zitajengwa b4 2025 cause world bank washa sign contract ....na phase 3 itakuwa inaingia JNIA terminal 3 na kutakuwa na express buses from airport to city center yan haisimami njianNasikia michoro ya phase 3 ni tabu tupu!! zinaingia mpaka airport juu kwa juu! Umetoka kwenye pipa una chukua BRT una drop Kimara, safi kabisa, less tha $1 umefika kwako!! Bus zitakua zinatumia gas. Wazungu watakuja kushangaa bongo siku si nyingi. Njiani umepita ma flyover na ma lane kibao kibao![]()
Yaani Dar itakuwa ni zaidi ya ulaya blessed sanaKwa phase 3 itakuwa bomba sana.. Kitu ambacho na uhakika nacho ni kuwa phase 3 na 4 zote zitajengwa b4 2025 cause world bank washa sign contract ....na phase 3 itakuwa inaingia JNIA terminal 3 na kutakuwa na express buses from airport to city center yan haisimami njian
Limelala Ghana dudeit is happening today. tutaelewana tu.
View attachment 975094
Hahahaa...Kimani ametoa bonge la povu
our new airbus A220 series is unleashing the anger of kenyans on instagram.
hawajui kwamba instagram ni kama backyard ya vijana wa kitanzania. ukilianzisha lazima ulinywe. huyo dogo wa kikenya hapo chini anashambuliwa kila kona ma vijana wa kitz.
View attachment 975388View attachment 975389
hiyo mbuzi ime coment tu bila kujua nini inaandika,A380 ije ibebe nini hapo wakati nai-ny walipata 8 passenger!!!!Kumbe Kenya wana A380???? 🤣