President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Wako forum gani ??? 😂😂😂Kitu nimegundua wengi wao hawajui watz,tuna maisha ndani ya jamii forums yote,tofauti na kenyan forum.kote tunaweza ishi.ila wao kila wanapoenda ni wageni hawajui hata malengo ya eneo walipo.
Mtu yuko Ugandan forum anatukana watz.
😆😆😆🤣🤣🤣Wanachungulia hvi😂😂👇👇👇👇
View attachment 972069
👏👏👏👏 Air tanzania imeanza kuwatesa ndugu zetu😆😆😆😆👇👇👇👇
😂😂😂😂 loss za leasing deal pia zinawamaliza taratibuwapeleke huko wagons zenye mabawa wanazoita ndege
Magufuli anakuambia kuna sehemu itakuwa njia 12




👇👇👇👇🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Magufuli anakuambia kuna sehemu itakuwa njia 12
Ile habari ya mara Thika sijui Fyoko fyoko Fyekelea mbari
View attachment 972113
Madeni madeni 😂😂😂😂👏👏👏👏👏👏👏👏👏 okoeni ndugu zetu 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇 loan is loan and law is law
RIP mombasa port
Ila mchina amewakalia pabaya sana😂😂😂acha wakome kwanza
chezea mchina wewe, hawasahau madeniIla mchina amewakalia pabaya sana😂😂😂
👇👇👇👇🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Wao wanaziita flyover sisi tunaziita bridgesHii barabara itakua na zile flyovers za kikenya 3View attachment 972124
Ambazo zitajengwa kibamba, kiluvya na mpiji