Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nisaidieni kuwatag
IMG_1545225382.504603.jpg
 
Ebanee hiyo Dom si itakua balaa!! hiyo train ya umeme ikianza tu trip tu Dom itakua hamna kurudi nyuma.. Dom ita ipiku Nai nakua jiji namba mbili East Africa.

Halafu taarifa iwafikie kina kenya kuwa jiwe anafumua uongozi wa dodoma na kuweka vijana, so haya wanayoyashuhudia ni just intro tu
 
Went for a photowalk with my Asian friends ( They Don’t drink and don’t eat beef ) Enjoyed this walk because after we finished to shoot each item , Mimi nilikua naachiwa kuangamiza kila kitu bila kubakisha 🤣. I wish to have more photowalks of this kind in the whole 2019🤣🤣🤣🤣.


Mixed photos taken with a phone and Camera ( spot photo quality)


44979643215_b5ee3fe77e_o.jpg



IMG_5798.JPG



IMG_5796.JPG



45892651811_d2b36855da_o.jpg



44076255900_5af2193a27_o.jpg



45892648011_925ab63fb7_o.jpg
 
Went for a photowalk with my Asian friends ( They Don’t drink and don’t eat beef ) Enjoyed this walk because after we finished to shoot each item , Mimi nilikua naachiwa kuangamiza kila kitu bila kubakisha 🤣. I wish to have more photowalks of this kind in the whole 2019🤣🤣🤣🤣.


Mixed photos taken with a phone and Camera ( spot photo quality)


View attachment 972358


View attachment 972359


View attachment 972360


View attachment 972361


View attachment 972362


View attachment 972363
Bata in the city that never sleeps
 
let's crack some jokes kidogo.

masikini diamond platnumz, relationship yake na haka kademu ka kikenya haijafikisha hata one month, mikosi imeanza kumuandama.

serikali ya tz imemzuia kutumbuiza ndani na nje ya tz.

naanza kuamini kauli za wazazi wangu they use to tell me when i was in my 20s.

walikuwa wananiambia niwe makini sana katika kuchagua msichana wa kudate naye, kwasababu wasichana wengine wana laana za koo zao zinazokaribisha umasikini.

huyu sio mwanamke wa kudate naye na kufikiria kuanzisha family. ukiwa naye kwenye mahusiano lazima utaandamwa na mikosi.

kama una ajira, basi out of nowhere unaweza ukapewa barua ya kuachishwa kazi.kama una business yako, inaweza kufa ghafla na ukafilisika kabisa.

huyu ni wa kuosha rungu tu na kusepa kimyakimya.

Screenshot_2018-12-19-18-04-25-205_com.instagram.android.jpeg
 
let's crack some jokes kidogo.

masikini diamond platnumz, relationship yake na haka kademu ka kikenya haijafikisha hata one month, mikosi imeanza kumuandama.

serikali ya tz imemzuia kutumbuiza ndani na nje ya tz.

naanza kuamini kauli za wazazi wangu they use to tell me when i was in my 20s.

walikuwa wananiambia niwe makini sana katika kuchagua msichana wa kudate naye, kwasababu wasichana wengine wana laana za koo zao zinazokaribisha umasikini.

huyu sio mwanamke wa kudate naye na kufikiria kuanzisha family. ukiwa naye kwenye mahusiano lazima utaandamwa na mikosi.

kama una ajira, basi out of nowhere unaweza ukapewa barua ya kuachishwa kazi.kama una business yako, inaweza kufa ghafla na ukafilisika kabisa.

View attachment 972416
😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom