REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,918
- 14,894
Wamepewa maelekezo maalum kuhusu project ya Dodoma, hata terminal yake itaacha historiaHii nimeipenda.. ata reli Dar-Dom inge isha kabla ya 2020 ingekua super sana. Nasikia kuna maelekezo ya hilo kutokea, Yapi wamepewa hiyo changamoto.


, wale jamaa unaeza soma maandishi yao ukaishia pharmacy