NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,380
- 17,959
The venue for AFCON finals imekua inspected by the FIFA president.
View: https://x.com/Kiinya_Y/status/1961771837416726824
Bado wanabisha penye Finals zitafanyika?😂😂
The venue for AFCON finals imekua inspected by the FIFA president.
View: https://x.com/Kiinya_Y/status/1961771837416726824
Good thing, mimi sina damu za watu wasio na hatia mikononi mwangu kwasababu ya madaraka na vipesa.Na wewe pia.
CHAN imekuja wakati mzuri Kemya. When the country is in turmoil then boom something to cheer about!
What a lame excuse.🚮🚮CHAN imekuja wakati mzuri Kemya. When the country is in turmoil then boom something to cheer about!
Nani mwenye damu za watu kaka? Kwikwikwikwikwi Acha kueneza upumbavu. Watu wakikutaka proof unayo?Good thing, mimi sina damu za watu wasio na hatia mikononi mwangu kwasababu ya madaraka na vipesa.
Hiyo ya Final Ceremony was too ugly. Kila mtu hajaipendaIle opening ceremony yenye mashabiki hata hawakufika 2000??
Tulia uandike vizuri. Unaharaka ya nini? Unajua Style ya chuma mboga kweli wewe?Hahaa uzuri Kila mtu anakuja ulivyo kilaza🤣🤣🤣🤣
Kila mtu anajua 2027 huko Kundustan kila mtu atakuwa anatembea na panga kumchinja mwenzake. Nani aende kwenye mauaji?Bado wanabisha penye Finals zitafanyika?😂😂
Waambie hao wajinga wanaotukana watu bila hata kuwajua. Wanamtukana Rais wetu wakati wao ni watanzania. Ninawasiwasi na hizo accounts huenda sio watanzania.Hizi habari achaneni nazo
Habari za kupashana au kutofautiana zipo na ni kawaida tu hivi ni kwa nn ni Watanzania ndiyo huwa tunatofautoana sijawahi kuona wakundustan wametofautiana hata siku moja hayo mambo achana nayo tuendele na battle tusmpe mda jirani kujipanga sababu sisi tunatofautiana ila na nyie kundustani hamna jipya ndiyo maana unaona tunalumbana wenyewe kwa wenyewe
Earlier today this 299 meter Ship left Lamu Port where it offloaded 550 containers for transhipment and onloaded another 900 containers for transhipment to Dar is Slum Port.
Bila Lamu and Mombasa Ports, Dar Port itakuwa asubuhi na mapema😂😂😂😂
View: https://x.com/Kenya_Ports/status/1961409883523199241?t=1dYA_ogKs1zeAPC3kc2tWw&s=19
Dah asee I remember sakata letu la sukari walileta mdogo, but as Country Tanzania tumeendelea kua nchi inayodili na matatizo yanayotishia usalama kimkakati zaidi.
Tulikua na Upungufu wa Tani 100k - 200k kwa kua uzalishaji wa Ndani ulikua 300k mahitaji 400k
Sakata la Sukari enzi za Magufuli na utawala wa Samia hatua zilizochukuliwa.
1. Kupitia vibali vya uagizaji na kuipatia NFRA inunue ihidadhi na kugawa ya export.
2. Kumshawishi Bhakresa kujenga Bagamoyo Sugar kwa kumpatia ardhk kubwa bure na msaada ahitajio.
View: https://youtu.be/hdlhRwZwEw8?si=pIT2_BaWiT122OcL
View attachment 3458489
3. Ujenzi kiwanda Cha Mkulanzi Sugar
View: https://www.instagram.com/p/DNFlAviMtSn/?igsh=Z3MxeHNjb3Fhajhv
View: https://youtu.be/3nxs09FzvKU?si=duA6ux9dxr3T-cMI
Vimekamilika na Samia still kuna expansions za Viwanda existing
Kilombero to 270k Tones
View: https://youtu.be/d0WLj5Z2jCo?si=UjhFrg3FOjRlpgUr
Upanuzi Wa Kagera Sugar
Upanuzi wa Mtibwa Sugar etc
Kuna hii TARI ilitafiti mbegu mpya za miwa na kuzigawa.
Imagine one issue tulideal nayo strategically kimya kimya
Kutoka 320k Tones 2017
Mpaka 660k dah we about to hit Self Sufficiency zero Import
Kumbuka Sasa Demand haiangalii mahitaji tu bali inaangalia na RESERVE Demand baada ya ile sheria ya NFRA kuitaka iwe na RESERVE kama more than 100k Tones.
Kuna Wasenge wa North kazi kuimport kila kitu na kuturingia mzigo wa Tonnes, wakati sisi tupo tunawipe import with domestic production.
TANZANIA IS SOMETHING WANA in the surface tunaweza onekana siasa nyingi ila once issue ikitishia any security ya nchi wiping is only solution.
Waambie hao wajinga wanaotukana watu bila hata kuwajua. Wanamtukana Rais wetu wakati wao ni watanzania. Ninawasiwasi na hizo accounts huenda sio watanzania.
Umeelewa maana ya hii before proceeding
Dar is Slum smell poverty.
View: https://x.com/AfricaFactsZone/status/1961696423155540165?t=h-CAiVC58zFLRY_C7AtXdg&s=19
huyu willy paul amekua mtu wa kulialia ovyo kama vile bonge la dada 😂😂😂Kunyaland wanaumia sana Zuchu ku perform 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
View attachment 3458701