Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kaka kikundi kipi kimeitawala Tanzania na watoto wao?

Wabunge wa Tanzania ni 272. Hebu taja watu kama 20 tu waliopota ubunge wa CCM kuwa ni watoto wa hicho kikundi
Mkuu embu uwache bange sometimes.
Tizama Kikwete na familia yake wanavyofanya succession ya uongozi.
Mbona mifano ipo wazi!?
 
Mkuu embu uwache bange sometimes.
Tizama Kikwete na familia yake wanavyofanya succession ya uongozi.
Mbona mifano ipo wazi!?
Brother, Kikwete Family yani Salma na Ridhiwan ndio uite Kikwete Family.

Be logical bhana. Mbona hata Nyerere mtoto wake Makongoro amewahi kuwa mbunge wa Arusha?
Kaka jifunze siasa!!
 
Brother, Kikwete Family yani Salma na Ridhiwan ndio uite Kikwete Family.

Be logical bhana. Mbona hata Nyerere mtoto wake Makongoro amewahi kuwa mbunge wa Arusha?
Kaka jifunze siasa!!
Unafananishaje ya Makongoro Nyerere na Kikwete!?
Makongoro Nyerere alikua mbunge mwaka gani!?
Tuje kwa Ridhwani,unaamini hakukuwa na mtu wa kushindana na Ridhwani humo humo CCM!?
Haijaishia hapo mama yake na yeye amewania nafasi hiyo hiyo kama ilivyo awali.
Matokeo yake unaingiza watu wapuuzi kwenye serikali na wanafanya upuuzi kisa wamejiwekea legacy humo ndani.
Huyo Bill Clinton uliyemtaja familia yake ilifanya kama hivi!?
Je huyo Nyerere uliyemtaja alifanya kama hivi baba kumpigia debe mkewe na mtoto wake waingie uongozini wakati mmoja!?
Mkubali mkatae hiki chama ni saratani hapa nchini.
Huku Kigamboni wamechagua hadi mabeki tatu kuwania udiwani na wengine serikali ndogo pia.
Kisa tu wanawahonga pesa wajumbe wanaopiga kura za maoni.
Na unategemea hawa ndio watufikishe MAHALI!?
 
Unafananishaje ya Makongoro Nyerere na Kikwete!?
Makongoro Nyerere alikua mbunge mwaka gani!?
Tuje kwa Ridhwani,unaamini hakukuwa na mtu wa kushindana na Ridhwani humo humo CCM!?
Haijaishia hapo mama yake na yeye amewania nafasi hiyo hiyo kama ilivyo awali.
Matokeo yake unaingiza watu wapuuzi kwenye serikali na wanafanya upuuzi kisa wamejiwekea legacy humo ndani.
Huyo Bill Clinton uliyemtaja familia yake ilifanya kama hivi!?
Je huyo Nyerere uliyemtaja alifanya kama hivi baba kumpigia debe mkewe na mtoto wake waingie uongozini wakati mmoja!?
Mkubali mkatae hiki chama ni saratani hapa nchini.
Huku Kigamboni wamechagua hadi mabeki tatu kuwania udiwani na wengine serikali ndogo pia.
Kisa tu wanawahonga pesa wajumbe wanaopiga kura za maoni.
Na unategemea hawa ndio watufikishe MAHALI!?
Kama hujui hata Makongoro mbunge mwaka gani!! Kweli tutaweza kujadiliana?
 
Kaka kila mtu yupo na uhuru wake. Usinilazimishe niamini siasa zako kaka. Wewe endelea kueneza siasa zako hizo huwezi kukosa wafuasi.

Asante, nipo hapa Njombe kuna baridi kinoma napata Gahawa
Mimi siyo mwanasiasa, wala sitafuti vyeo vya kisiasa.

Ningekuwa Mwanasiasa ungeniona natafuta umaarufu.

Natoa maoni yangu kama MTZ asiyetegemea fadhila yoyote ya mwanasiasa yoyote kwasababu sina NCHI nyingine, kama kina SINGASINGA wenye Passport 4 na kinga ya shati la kijani.
 
Brother, Kikwete Family yani Salma na Ridhiwan ndio uite Kikwete Family.

Be logical bhana. Mbona hata Nyerere mtoto wake Makongoro amewahi kuwa mbunge wa Arusha?
Kaka jifunze siasa!!
Makongoro alipigiwa kura tena akiwa chama cha Upinzani, NCCR Mageuzi enzi za Kura ina heshima yake.
 
Teargass na wenzako tuambieni maandalizi ya final yakoje!!?? Nimecheka sana. Mnavyoongea kwenye social media.

Sijawahi kuona maandalizi mabovu kama haya yaliyofanyika Kenya. Sijui ni umaskini wao au Ushamba wao.
 
Back
Top Bottom