Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kaka kila mtu yupo na uhuru wake. Usinilazimishe niamini siasa zako kaka. Wewe endelea kueneza siasa zako hizo huwezi kukosa wafuasi.

Asante, nipo hapa Njombe kuna baridi kinoma napata Gahawa
Mimi siyo mwanasiasa, wala sitafuti vyeo vya kisiasa.

Ningekuwa Mwanasiasa ungeniona natafuta umaarufu.

Natoa maoni yangu kama MTZ asiyetegemea fadhila yoyote ya mwanasiasa yoyote kwasababu sina NCHI nyingine, kama kina SINGASINGA wenye Passport 4 na kinga ya shati la kijani.
 
Brother, Kikwete Family yani Salma na Ridhiwan ndio uite Kikwete Family.

Be logical bhana. Mbona hata Nyerere mtoto wake Makongoro amewahi kuwa mbunge wa Arusha?
Kaka jifunze siasa!!
Makongoro alipigiwa kura tena akiwa chama cha Upinzani, NCCR Mageuzi enzi za Kura ina heshima yake.
 
Teargass na wenzako tuambieni maandalizi ya final yakoje!!?? Nimecheka sana. Mnavyoongea kwenye social media.

Sijawahi kuona maandalizi mabovu kama haya yaliyofanyika Kenya. Sijui ni umaskini wao au Ushamba wao.
 
Ridhiwan kazaliwa bagamoyo ndio kwao. Mama salma kazaliwa huko Nachingwea ndio kwao. Je, hawana haki ya kuwa viongozi?

Mimi sijaona tatizo la wao kuwa viongozi. Mbona Jescar Magufuli naye yumo kwenye Siasa? Kuna binti wa Masabuli, Kuna ndugu yake Nchimbi, mbona hamuwaongelei hao?
Ukishakua raia wa TZ unaweza kugombea kokote kule ndani ya TZ,ila shida inaanza how jk family ipite bila kupingwa sehemu walizogombea?
Kingine kwa wadhifa alioshawahi kushika TZ,hakuna afya kwa mkewe kuwa mbunge,aipendezi,angekua anajielewa asingekubaliana na kitu kama kile
 
The venue for AFCON finals imekua inspected by the FIFA president.


View: https://x.com/Kiinya_Y/status/1961771837416726824

Screenshot_20250830-193924.png

Acha ushamba maku
 
Ukishakua raia wa TZ unaweza kugombea kokote kule ndani ya TZ,ila shida inaanza how jk family ipite bila kupingwa sehemu walizogombea?
Kingine kwa wadhifa alioshawahi kushika TZ,hakuna afya kwa mkewe kuwa mbunge,aipendezi,angekua anajielewa asingekubaliana na kitu kama kile
Kaka, siwaelewi ni kitu gani mnalalamikia.
Je, Salma hafai kuwa mbunge kwa sababu ni mke wa aliyekuwa Rais?

Je, Salma hatakiwi kuwa mgombea pekee kwenye jimbo?

Je, Salma hajiwezi au hafai kuwa mwanasiasa?

Je, Salma hana haki ya kugombea ubunge kwa sababu ni mke wa kikwete?

Tatizo la salma ni nini? Maana hata Dotto Biteko naye alikuwa mgombea pekee.

Siasa ni pamoja na kushawishi wapinzani wako wajiunge na wewe.

Kaka nakushauri uijue siasa. Bill Clinton alikiwa Rais lakini baadae mke wake akawa Secretary wa State na baadae akagombea urais na akashindwa na Trump.

Fuatilia siasa za duniani. Kama hutojali nitakuwekea nchi nyingi sana wake wa marais na watoto wao waliingia kwenye siasa.

Kaka kama wewe ni mwalimu asilimia kubwa ya watoto wako watakuwa walimu.
 
Kaka, siwaelewi ni kitu gani mnalalamikia.
Je, Salma hafai kuwa mbunge kwa sababu ni mke wa aliyekuwa Rais?

Je, Salma hatakiwi kuwa mgombea pekee kwenye jimbo?

Je, Salma hajiwezi au hafai kuwa mwanasiasa?

Je, Salma hana haki ya kugombea ubunge kwa sababu ni mke wa kikwete?

Tatizo la salma ni nini? Maana hata Dotto Biteko naye alikuwa mgombea pekee.

Siasa ni pamoja na kushawishi wapinzani wako wajiunge na wewe.

Kaka nakushauri uijue siasa. Bill Clinton alikiwa Rais lakini baadae mke wake akawa Secretary wa State na baadae akagombea urais na akashindwa na Trump.

Fuatilia siasa za duniani. Kama hutojali nitakuwekea nchi nyingi sana wake wa marais na watoto wao waliingia kwenye siasa.

Kaka kama wewe ni mwalimu asilimia kubwa ya watoto wako watakuwa walimu.
Hiyo FAMILIA ina TAMAA Kaliiiiiiii Sana.

Possibly, bila Mkapa yawezekana hata ingekatalia IKULU.
 
Back
Top Bottom