DarkNairobi at night
![]()
DarkNairobi at night
![]()
Muda mwingine tuwaache tu wajifurahishe mkuuMkundustan hajawahi kuwa na akili hata 2, Rwanda ipo mbali na Dar kwa kilometers zaidi ya 1500 inatumia ports zetu kwa Asilimia 90 eti mikoa ya kaskazini iliopo umbali wa kilometers 600 ndio zitumie Mombasa 😁😁😁
View: https://x.com/fredshiluli/status/1961717423981125772
MY TAKE
Sikujua UDA wane-copy rangi za CCM!
Wapi kura hazijaheshimiwa? Kumsema vibaya mwanasiasa mwenzako hizo nazo ni siasa kaka. Na haya uliyoyaandika ni siasa pia.Heshima ya kura ni sehemu ya usalama wa nchi.
Leo usalama ukizorota hao kina Ridhiwani au nyie vijana wa CCM hamtaweza.
Vita yetu ya Kagera kila MTZ aliahiriki, na waganda walitoa ushirikiano kwetu kwasababu hawakumpenda Iddi Amini.
Kuwashawishi wapinzani wako wakaungana na wewe na kuacha kuchukua fomu ni siasa pia.Heshima ya kura ni sehemu ya usalama wa nchi.
Leo usalama ukizorota hao kina Ridhiwani au nyie vijana wa CCM hamtaweza.
Vita yetu ya Kagera kila MTZ aliahiriki, na waganda walitoa ushirikiano kwetu kwasababu hawakumpenda Iddi Amini.
Mimi nimeshiriki.Wapi kura hazijaheshimiwa? Kumsema vibaya mwanasiasa mwenzako hizo nazo ni siasa kaka. Na haya uliyoyaandika ni siasa pia.
Mimi sijaona kosa la Ridhiwan
Dah, haya kaka.Sasa brother jimbo moja la Chalinze ndilo liwakilishe majimbo yote Tanzania?
Kaka acha wivu hizo ndizo siasa kaka. Hata huko kwa aanzilishi wa siasa mambo yapo hivyo Bill Clinton alikuwa president lakini baadae mke wake akawa 67th United States Secretary of State
Unalalamika bure tu bila hata ground
Mchinga nako vp bro,kwa mama salma,kuna vitu jk inabidi aone aibuWapi kura hazijaheshimiwa? Kumsema vibaya mwanasiasa mwenzako hizo nazo ni siasa kaka. Na haya uliyoyaandika ni siasa pia.
Mimi sijaona kosa la Ridhiwan
Kaka hizo zote ni siasa. Sijaona hoja ambayo umeileta siyo ya kisiasa. Kusema ndani ya miaka 5 hakuna atakayekuwa anaenda kwenye mikutano. Ni maneno tu hayo kaka ya kisiasa.Mimi nimeshiriki.
Suala la kura kutokuwa na maana liko wazi.
Na hapa kwetu, mgombea wa CCM aliteuliwa alikuwa Barmaid na taswira yake kwenye jamii ni mbaya.
Huyo ndani ya miaka 5, hakuna mtu atakuwa anaenda kwenye mikutano yake.
WaTZ siyo violent, ila ni watu wanaogulia ndani tu.
Ridhiwan kazaliwa bagamoyo ndio kwao. Mama salma kazaliwa huko Nachingwea ndio kwao. Je, hawana haki ya kuwa viongozi?Mchinga nako vp bro,kwa mama salma,kuna vitu jk inabidi aone aibu
Watu kama nyie huwa ni hatari sana.Kaka hizo zote ni siasa. Sijaona hoja ambayo umeileta siyo ya kisiasa. Kusema ndani ya miaka 5 hakuna atakayekuwa anaenda kwenye mikutano. Ni maneno tu hayo kaka ya kisiasa.
Don't be taken for a ride, he could be trolling.Watu kama nyie huwa ni hatari sana.
Kwa akili hizi, sidhani kama TZ ina miaka 50 mbele.
Nigeria in the making.
Anaamini anachokisema. Hata UVCCM matendo na maneno yanaonesha wako njia hiyo.Don't be taken for a ride, he could be trolling.
Kaka hujui majanga yake? Alituhumiwa kumdhurumu mwananchi. Kesi ilimalizwa kimy kimya Ummy alishindwa. Na kuna mambo mengine kibao.Venus Star, hivi Ummy ilikuwaje wakamkata, japo kuwa aliongoza kwenye kura za maoni?
Weak Country inagongwa na South Sudan Kwikwikwikwikwi
View: https://x.com/vinguard254/status/1961656899641720882?t=I2k_2eGh9X8VwW6dRRCXKQ&s=19
Kaka kila mtu yupo na uhuru wake. Usinilazimishe niamini siasa zako kaka. Wewe endelea kueneza siasa zako hizo huwezi kukosa wafuasi.Watu kama nyie huwa ni hatari sana.
Kwa akili hizi, sidhani kama TZ ina miaka 50 mbele.
Nigeria in the making.