Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mimi nimeshiriki.

Suala la kura kutokuwa na maana liko wazi.

Na hapa kwetu, mgombea wa CCM aliteuliwa alikuwa Barmaid na taswira yake kwenye jamii ni mbaya.

Huyo ndani ya miaka 5, hakuna mtu atakuwa anaenda kwenye mikutano yake.

WaTZ siyo violent, ila ni watu wanaogulia ndani tu.
Kaka hizo zote ni siasa. Sijaona hoja ambayo umeileta siyo ya kisiasa. Kusema ndani ya miaka 5 hakuna atakayekuwa anaenda kwenye mikutano. Ni maneno tu hayo kaka ya kisiasa.
 
Mchinga nako vp bro,kwa mama salma,kuna vitu jk inabidi aone aibu
Ridhiwan kazaliwa bagamoyo ndio kwao. Mama salma kazaliwa huko Nachingwea ndio kwao. Je, hawana haki ya kuwa viongozi?

Mimi sijaona tatizo la wao kuwa viongozi. Mbona Jescar Magufuli naye yumo kwenye Siasa? Kuna binti wa Masabuli, Kuna ndugu yake Nchimbi, mbona hamuwaongelei hao?
 
Kaka hizo zote ni siasa. Sijaona hoja ambayo umeileta siyo ya kisiasa. Kusema ndani ya miaka 5 hakuna atakayekuwa anaenda kwenye mikutano. Ni maneno tu hayo kaka ya kisiasa.
Watu kama nyie huwa ni hatari sana.

Kwa akili hizi, sidhani kama TZ ina miaka 50 mbele.

Nigeria in the making.
 
Don't be taken for a ride, he could be trolling.
Anaamini anachokisema. Hata UVCCM matendo na maneno yanaonesha wako njia hiyo.

Siasa za CCM kwasasa siyo akili tena, ni mabavu.

Na hili suala linaficha sana maovu kama haya👇👇

 
Afcon final itahostiwa kenya, hio hata haihitaji akili nyingi
1000066055.jpg
 
Venus Star, hivi Ummy ilikuwaje wakamkata, japo kuwa aliongoza kwenye kura za maoni?
Kaka hujui majanga yake? Alituhumiwa kumdhurumu mwananchi. Kesi ilimalizwa kimy kimya Ummy alishindwa. Na kuna mambo mengine kibao.

Alikuwa mmoja wa genge lililoandaliwa wakiingia bungeni wafike wabunge 200 kisha waweke hoja ya kutokuwa na Imani na Rais ili wamuondoe madarakani. Hayo niliyasikia kwenye vijiwe vya kahawa magomeni mapipa.
 
Watu kama nyie huwa ni hatari sana.

Kwa akili hizi, sidhani kama TZ ina miaka 50 mbele.

Nigeria in the making.
Kaka kila mtu yupo na uhuru wake. Usinilazimishe niamini siasa zako kaka. Wewe endelea kueneza siasa zako hizo huwezi kukosa wafuasi.

Asante, nipo hapa Njombe kuna baridi kinoma napata Gahawa
 
Kaka kikundi kipi kimeitawala Tanzania na watoto wao?

Wabunge wa Tanzania ni 272. Hebu taja watu kama 20 tu waliopota ubunge wa CCM kuwa ni watoto wa hicho kikundi
Mkuu embu uwache bange sometimes.
Tizama Kikwete na familia yake wanavyofanya succession ya uongozi.
Mbona mifano ipo wazi!?
 
Mkuu embu uwache bange sometimes.
Tizama Kikwete na familia yake wanavyofanya succession ya uongozi.
Mbona mifano ipo wazi!?
Brother, Kikwete Family yani Salma na Ridhiwan ndio uite Kikwete Family.

Be logical bhana. Mbona hata Nyerere mtoto wake Makongoro amewahi kuwa mbunge wa Arusha?
Kaka jifunze siasa!!
 
Brother, Kikwete Family yani Salma na Ridhiwan ndio uite Kikwete Family.

Be logical bhana. Mbona hata Nyerere mtoto wake Makongoro amewahi kuwa mbunge wa Arusha?
Kaka jifunze siasa!!
Unafananishaje ya Makongoro Nyerere na Kikwete!?
Makongoro Nyerere alikua mbunge mwaka gani!?
Tuje kwa Ridhwani,unaamini hakukuwa na mtu wa kushindana na Ridhwani humo humo CCM!?
Haijaishia hapo mama yake na yeye amewania nafasi hiyo hiyo kama ilivyo awali.
Matokeo yake unaingiza watu wapuuzi kwenye serikali na wanafanya upuuzi kisa wamejiwekea legacy humo ndani.
Huyo Bill Clinton uliyemtaja familia yake ilifanya kama hivi!?
Je huyo Nyerere uliyemtaja alifanya kama hivi baba kumpigia debe mkewe na mtoto wake waingie uongozini wakati mmoja!?
Mkubali mkatae hiki chama ni saratani hapa nchini.
Huku Kigamboni wamechagua hadi mabeki tatu kuwania udiwani na wengine serikali ndogo pia.
Kisa tu wanawahonga pesa wajumbe wanaopiga kura za maoni.
Na unategemea hawa ndio watufikishe MAHALI!?
 
Unafananishaje ya Makongoro Nyerere na Kikwete!?
Makongoro Nyerere alikua mbunge mwaka gani!?
Tuje kwa Ridhwani,unaamini hakukuwa na mtu wa kushindana na Ridhwani humo humo CCM!?
Haijaishia hapo mama yake na yeye amewania nafasi hiyo hiyo kama ilivyo awali.
Matokeo yake unaingiza watu wapuuzi kwenye serikali na wanafanya upuuzi kisa wamejiwekea legacy humo ndani.
Huyo Bill Clinton uliyemtaja familia yake ilifanya kama hivi!?
Je huyo Nyerere uliyemtaja alifanya kama hivi baba kumpigia debe mkewe na mtoto wake waingie uongozini wakati mmoja!?
Mkubali mkatae hiki chama ni saratani hapa nchini.
Huku Kigamboni wamechagua hadi mabeki tatu kuwania udiwani na wengine serikali ndogo pia.
Kisa tu wanawahonga pesa wajumbe wanaopiga kura za maoni.
Na unategemea hawa ndio watufikishe MAHALI!?
Kama hujui hata Makongoro mbunge mwaka gani!! Kweli tutaweza kujadiliana?
 
Back
Top Bottom