Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi at night

Image
Dark
 
Heshima ya kura ni sehemu ya usalama wa nchi.

Leo usalama ukizorota hao kina Ridhiwani au nyie vijana wa CCM hamtaweza.


Vita yetu ya Kagera kila MTZ aliahiriki, na waganda walitoa ushirikiano kwetu kwasababu hawakumpenda Iddi Amini.
Wapi kura hazijaheshimiwa? Kumsema vibaya mwanasiasa mwenzako hizo nazo ni siasa kaka. Na haya uliyoyaandika ni siasa pia.

Mimi sijaona kosa la Ridhiwan
 
Heshima ya kura ni sehemu ya usalama wa nchi.

Leo usalama ukizorota hao kina Ridhiwani au nyie vijana wa CCM hamtaweza.


Vita yetu ya Kagera kila MTZ aliahiriki, na waganda walitoa ushirikiano kwetu kwasababu hawakumpenda Iddi Amini.
Kuwashawishi wapinzani wako wakaungana na wewe na kuacha kuchukua fomu ni siasa pia.

Siasa ni ushawishi
 
Wapi kura hazijaheshimiwa? Kumsema vibaya mwanasiasa mwenzako hizo nazo ni siasa kaka. Na haya uliyoyaandika ni siasa pia.

Mimi sijaona kosa la Ridhiwan
Mimi nimeshiriki.

Suala la kura kutokuwa na maana liko wazi.

Na hapa kwetu, mgombea wa CCM aliteuliwa alikuwa Barmaid na taswira yake kwenye jamii ni mbaya.

Huyo ndani ya miaka 5, hakuna mtu atakuwa anaenda kwenye mikutano yake.

WaTZ siyo violent, ila ni watu wanaogulia ndani tu.
 
Sasa brother jimbo moja la Chalinze ndilo liwakilishe majimbo yote Tanzania?

Kaka acha wivu hizo ndizo siasa kaka. Hata huko kwa aanzilishi wa siasa mambo yapo hivyo Bill Clinton alikuwa president lakini baadae mke wake akawa 67th United States Secretary of State

Unalalamika bure tu bila hata ground
Dah, haya kaka.

Mungu ibariki Tanzania na watu wake. Amina.
 
Mimi nimeshiriki.

Suala la kura kutokuwa na maana liko wazi.

Na hapa kwetu, mgombea wa CCM aliteuliwa alikuwa Barmaid na taswira yake kwenye jamii ni mbaya.

Huyo ndani ya miaka 5, hakuna mtu atakuwa anaenda kwenye mikutano yake.

WaTZ siyo violent, ila ni watu wanaogulia ndani tu.
Kaka hizo zote ni siasa. Sijaona hoja ambayo umeileta siyo ya kisiasa. Kusema ndani ya miaka 5 hakuna atakayekuwa anaenda kwenye mikutano. Ni maneno tu hayo kaka ya kisiasa.
 
Mchinga nako vp bro,kwa mama salma,kuna vitu jk inabidi aone aibu
Ridhiwan kazaliwa bagamoyo ndio kwao. Mama salma kazaliwa huko Nachingwea ndio kwao. Je, hawana haki ya kuwa viongozi?

Mimi sijaona tatizo la wao kuwa viongozi. Mbona Jescar Magufuli naye yumo kwenye Siasa? Kuna binti wa Masabuli, Kuna ndugu yake Nchimbi, mbona hamuwaongelei hao?
 
Kaka hizo zote ni siasa. Sijaona hoja ambayo umeileta siyo ya kisiasa. Kusema ndani ya miaka 5 hakuna atakayekuwa anaenda kwenye mikutano. Ni maneno tu hayo kaka ya kisiasa.
Watu kama nyie huwa ni hatari sana.

Kwa akili hizi, sidhani kama TZ ina miaka 50 mbele.

Nigeria in the making.
 
Don't be taken for a ride, he could be trolling.
Anaamini anachokisema. Hata UVCCM matendo na maneno yanaonesha wako njia hiyo.

Siasa za CCM kwasasa siyo akili tena, ni mabavu.

Na hili suala linaficha sana maovu kama haya👇👇

 
Venus Star, hivi Ummy ilikuwaje wakamkata, japo kuwa aliongoza kwenye kura za maoni?
Kaka hujui majanga yake? Alituhumiwa kumdhurumu mwananchi. Kesi ilimalizwa kimy kimya Ummy alishindwa. Na kuna mambo mengine kibao.

Alikuwa mmoja wa genge lililoandaliwa wakiingia bungeni wafike wabunge 200 kisha waweke hoja ya kutokuwa na Imani na Rais ili wamuondoe madarakani. Hayo niliyasikia kwenye vijiwe vya kahawa magomeni mapipa.
 
Watu kama nyie huwa ni hatari sana.

Kwa akili hizi, sidhani kama TZ ina miaka 50 mbele.

Nigeria in the making.
Kaka kila mtu yupo na uhuru wake. Usinilazimishe niamini siasa zako kaka. Wewe endelea kueneza siasa zako hizo huwezi kukosa wafuasi.

Asante, nipo hapa Njombe kuna baridi kinoma napata Gahawa
 
Back
Top Bottom