Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ule Muswada ni HARAMU. Sijui kama ulipita ai vipi ila unakiuka Sheria na katiba, maana Mke wa Rais siyo kazi ya utumishi unaotambulika.
Kuna tetesi kuwa unaweza kupitishwa maana wabunge wengi wa CCM waliuunga mkono. Na ungelisikiliza hizo sababu walizotoa aisee ni za kikunyakisi kama walivyo wao.
Ni ulafi uliopitiliza tu unawasumbua.
 
Utake usitake huo ndio ukweli.
waAfrika hatuna akili tunaendekeza uchu wa madaraka na ufisadi na ubinafsi.
Kama hivi vitu visingekuwepo Afrika ilikua iendelee kuliko sasa.
Siku zote ukweli unauma.
Ndio maana. Nilikuwa najiuliza tatizo ni nini. Kumbe huna akili. Pole
 
Kwani kiongozi yupi ameuliwa? Mbona upo na uchungu hivyo? Damu inatumwagikia sisi kaka. Funguka.

Abdu Jumbe alikuwa Rais wa Zanzibar, Vilevile nakuongezea Taarifa za Horace Kolimba, soma ujifunze
Ukishazoea damu za watu, huwezi kuacha.

Kwanza unawashangaa wasioua kwasababu ya pesa na madaraka.

Na hao wanaoua hawana hata hata miaka 30 mbele
 
Kuna tetesi kuwa unaweza kupitishwa maana wabunge wengi wa CCM waliuunga mkono. Na ungelisikiliza hizo sababu walizotoa aisee ni za kikunyakisi kama walivyo wao.
Ni ulafi uliopitiliza tu unawasumbua.
Kaka. Hapa unapiga siasa tu. Wewe siyo wa kwanza kuongea haya. Lakini maisha yanasonga mbele. Na oktoba tunatiki. Kwikwikwikwikwi
 
Brother hasira zako kwa ummy kukatwa usinihamishie mimi. Presidency is an Institution Siyo mtu mmoja. Ni Taasisi iliyokamilika. Huwezi ukaihujumu Taasisi hiyo ukabaki salama. Only stupid anaweza akavimba.
Mimi sina hasira na Oddo kukatwa na wala sina hasira na wewe ndugu, Sina muda wa kuwa na hasira ni my insatiable curiosity to learn tu, that's all. Just like any other institution, presidential institution may happen to be led by an incompetent president. Kusema flani hatoshi sio hujuma. There is nothing wrong being factually honest.
 
Mimi sina hasira na Oddo kukatwa na wala sina hasira na wewe ndugu, Sina muda wa kuwa na hasira ni my insatiable curiosity to learn tu, that's all. Just like any other institution, presidential institution may happen to be led by an incompetent president. Kusema flani hatoshi sio hujuma. There is nothing wrong being factually honest.
Ummy alikuwa mbunge na akateuliwa kuwa waziri. Hana moral authority ya kusema maneno aliyotasema. Lengo lake lilikuwa wazi ni kuhujumu uongozi.

So huyo ni msaliti na hafai kuwa kiongozi. Bahati yake alikutana na kiongozi mwenye huruma. Viongozi wengine angemalizwa kama Kolimba
 
Na wenyewe huwa WANAKUFA
Anayekufa mtu siyo utawala. Kwikwikwikwi naona unaandika kwa hisia kali sana. Ondoa ujinga kichwani utakuwa huru. Na usiweke matumaini kwa mtu.

Ona sasa uliweka matumaini kwa Ummy Mwalimu amekatwa umebaki kuweweseka tu kama mwehu. Kwikwikwikwikwi
 
Anayekufa mtu siyo utawala. Kwikwikwikwi naona unaandika kwa hisia kali sana. Ondoa ujinga kichwani utakuwa huru. Na usiweke matumaini kwa mtu.

Ona sasa uliweka matumaini kwa Ummy Mwalimu amekatwa umebaki kuweweseka tu kama mwehu. Kwikwikwikwikwi
Mimi ma Ummy wapi na wapi??

Hapa nasemea UHAI.

Kuwa hata wewe UTAKUFA
 
Back
Top Bottom