Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sitaki tuanze kuongea mambo ya kiundani zaidi. Huenda mwenzetu mambo haya umeyajua juzi tu. Huwezi ukashindana na Taasisi ya Urais ukabaki salama. Mtu mwingine muulize Aboud Jumbe.

Soma historia yake
Aboud Jumbe aliuliwa???

Kuna ujinga unafanyika wala hauna uhalali wowote.

Kubali hizo dhambi, ishi nazo. Ua na wewe UTAKUFA.

Hakuna maslahi ya umma hapo.

Sometimes ,nafimiri labda ni masharti ya waganga. Wala usisingizie WaTZ kwenye damu za watu wasio na hatia.
 
Campare this with your poor preparation

Opening Ceremony

View: https://www.instagram.com/reel/DM3DuLLswP8/

Bongolala, didn't I tell you that hosting countries had nothing to do with CHAN matches organization? Maandalizi yote ya CHAN including opening and closing ceremonies yalifanywa na CAF. It is them who decided which venues will host which matches and in which manner. Ni nini huelewi hapo? Ama ni ujinga tu zenu za kawaida ya kuleta ubishi kwa kila kitu?
 
Na mkewe akaja kuleta muswada wa kisenge sana pale bungeni.
Eti wenza wa viongozi wastaafu nao walipwe mafao ya kustaafia ya uongozi.
Hivi ana akili timamu huyooo!?
Ule Muswada ni HARAMU. Sijui kama ulipita ai vipi ila unakiuka Sheria na katiba, maana Mke wa Rais siyo kazi ya utumishi unaotambulika.
 
Na mkewe akaja kuleta muswada wa kisenge sana pale bungeni.
Eti wenza wa viongozi wastaafu nao walipwe mafao ya kustaafia ya uongozi.
Hivi ana akili timamu huyooo!?
Soma sheria ya Usalama wa Taifa. Acha kuwa mzembe na kutukana ovyo.

Sheria ya usalama wa Taifa imeweka wazi familia za viongozi wa juu Baba, Mama na Watoto zinalindwa hata wanapokuwa wamestaafu uongozi.

Kitu kinachowasumbua ni kuongozwa emotions badala ya kuongozwa intelligence
 
Go check social media, International TV, Or ask anyone will tell you the truth. Hata wewe nafsi yako inakushihudia. But mahaba ya nchi yako yamekupofusha usione ukweli.
Can you prove these claims now that you know where the evidence is?
 
Maku acha uzwazwa,ulileta ile habari kwa ushamba wako kutuzodoa humu,baada ya kuona kishawahi kutembelea TZ ndio ukabadilisha gear angani maku ww,iwapo ungejua before wala usingeleta humu ile habari bwege ww,kaokote makopo uko fala
Hivyo ndio your inferiority complex imekuambia. 🤣 🤣 🤣
 
Wewe ni kibaraka wa wazungu. Damu zilizomwagwa za dugu zetu kupamabana dhidi ya unyonyaji wa kikoloni leo hii unawatukana waafrika. Huenda wewe siyo mwafrika.

Umeniudhi sana kwa kutuna waafrika.
Utake usitake huo ndio ukweli.
waAfrika hatuna akili tunaendekeza uchu wa madaraka na ufisadi na ubinafsi.
Kama hivi vitu visingekuwepo Afrika ilikua iendelee kuliko sasa.
Siku zote ukweli unauma.
 
Soma sheria ya Usalama wa Taifa. Acha kuwa mzembe na kutukana ovyo.

Sheria ya usalama wa Taifa imeweka wazi familia za viongozi wa juu Baba, Mama na Watoto zinalindwa hata wanapokuwa wamestaafu uongozi.

Kitu kinachowasumbua ni kuongozwa emotions badala ya kuongozwa intelligence
Mie sijali hilo mzee.
Kisa sheria ndio imewapa Kinga ndio wafanye wanavyotaka!?
We endelea kuwatetea utakavyo.
 
Aboud Jumbe aliuliwa???

Kuna ujinga unafanyika wala hauna uhalali wowote.

Kubali hizo dhambi, ishi nazo. Ua na wewe UTAKUFA.

Hakuna maslahi ya umma hapo.

Sometimes ,nafimiri labda ni masharti ya waganga. Wala usisingizie WaTZ kwenye damu za watu wasio na hatia.
Kwani kiongozi yupi ameuliwa? Mbona upo na uchungu hivyo? Damu inatumwagikia sisi kaka. Funguka.

Abdu Jumbe alikuwa Rais wa Zanzibar, Vilevile nakuongezea Taarifa za Horace Kolimba, soma ujifunze
 
Ule Muswada ni HARAMU. Sijui kama ulipita ai vipi ila unakiuka Sheria na katiba, maana Mke wa Rais siyo kazi ya utumishi unaotambulika.
Kuna tetesi kuwa unaweza kupitishwa maana wabunge wengi wa CCM waliuunga mkono. Na ungelisikiliza hizo sababu walizotoa aisee ni za kikunyakisi kama walivyo wao.
Ni ulafi uliopitiliza tu unawasumbua.
 
Utake usitake huo ndio ukweli.
waAfrika hatuna akili tunaendekeza uchu wa madaraka na ufisadi na ubinafsi.
Kama hivi vitu visingekuwepo Afrika ilikua iendelee kuliko sasa.
Siku zote ukweli unauma.
Ndio maana. Nilikuwa najiuliza tatizo ni nini. Kumbe huna akili. Pole
 
Kwani kiongozi yupi ameuliwa? Mbona upo na uchungu hivyo? Damu inatumwagikia sisi kaka. Funguka.

Abdu Jumbe alikuwa Rais wa Zanzibar, Vilevile nakuongezea Taarifa za Horace Kolimba, soma ujifunze
Ukishazoea damu za watu, huwezi kuacha.

Kwanza unawashangaa wasioua kwasababu ya pesa na madaraka.

Na hao wanaoua hawana hata hata miaka 30 mbele
 
Kuna tetesi kuwa unaweza kupitishwa maana wabunge wengi wa CCM waliuunga mkono. Na ungelisikiliza hizo sababu walizotoa aisee ni za kikunyakisi kama walivyo wao.
Ni ulafi uliopitiliza tu unawasumbua.
Kaka. Hapa unapiga siasa tu. Wewe siyo wa kwanza kuongea haya. Lakini maisha yanasonga mbele. Na oktoba tunatiki. Kwikwikwikwikwi
 
Brother hasira zako kwa ummy kukatwa usinihamishie mimi. Presidency is an Institution Siyo mtu mmoja. Ni Taasisi iliyokamilika. Huwezi ukaihujumu Taasisi hiyo ukabaki salama. Only stupid anaweza akavimba.
Mimi sina hasira na Oddo kukatwa na wala sina hasira na wewe ndugu, Sina muda wa kuwa na hasira ni my insatiable curiosity to learn tu, that's all. Just like any other institution, presidential institution may happen to be led by an incompetent president. Kusema flani hatoshi sio hujuma. There is nothing wrong being factually honest.
 
Mimi sina hasira na Oddo kukatwa na wala sina hasira na wewe ndugu, Sina muda wa kuwa na hasira ni my insatiable curiosity to learn tu, that's all. Just like any other institution, presidential institution may happen to be led by an incompetent president. Kusema flani hatoshi sio hujuma. There is nothing wrong being factually honest.
Ummy alikuwa mbunge na akateuliwa kuwa waziri. Hana moral authority ya kusema maneno aliyotasema. Lengo lake lilikuwa wazi ni kuhujumu uongozi.

So huyo ni msaliti na hafai kuwa kiongozi. Bahati yake alikutana na kiongozi mwenye huruma. Viongozi wengine angemalizwa kama Kolimba
 
Na wenyewe huwa WANAKUFA
Anayekufa mtu siyo utawala. Kwikwikwikwi naona unaandika kwa hisia kali sana. Ondoa ujinga kichwani utakuwa huru. Na usiweke matumaini kwa mtu.

Ona sasa uliweka matumaini kwa Ummy Mwalimu amekatwa umebaki kuweweseka tu kama mwehu. Kwikwikwikwikwi
 
Back
Top Bottom