Aboud Jumbe aliuliwa???Sitaki tuanze kuongea mambo ya kiundani zaidi. Huenda mwenzetu mambo haya umeyajua juzi tu. Huwezi ukashindana na Taasisi ya Urais ukabaki salama. Mtu mwingine muulize Aboud Jumbe.
Soma historia yake
Kuna ujinga unafanyika wala hauna uhalali wowote.
Kubali hizo dhambi, ishi nazo. Ua na wewe UTAKUFA.
Hakuna maslahi ya umma hapo.
Sometimes ,nafimiri labda ni masharti ya waganga. Wala usisingizie WaTZ kwenye damu za watu wasio na hatia.