Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

imebidi nicheke kwanza
Cheka zaidi .. hii ni Bongo Navy patrolling in fishing boats… wacha nicheke pia ..🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
IMG_8688.jpeg
 
Mbezi beach dar es salaam. Huu ndo mtaa huwa unalinganishwa na karen, hamna hata tone la lami.
Yenyewe Kenya tupo mbali
 
Mbezi beach dar es salaam. Huu ndo mtaa huwa unalinganishwa na karen, hamna hata tone la lami.
Yenyewe Kenya tupo mbali
Dar es salaam ipo na mitaa zaidi 20. Unataka mtaa upi ulinganishwe na Karen kati ya hii?
1. Masaki
2. Oyster Bay
3. Mikochen
4. Upanga East
5. Upanga West
6. Mikochen1
7. Kijitonyama
8. Mbezi beach
9. Kariakoo
10. Kisutu
11. Magomeni
12. Morocco
13. Ubungo
14. Mbweni
15. Ununio
16. Sinza
17. Mwenge
18. Manzese
19. Kibada
20. Kawe

Chagua chochote hapo tukuvue chupi
 
Dar es salaam ipo na mitaa zaidi 20. Unataka mtaa upi ulinganishwe na Karen kati ya hii?
1. Masaki
2. Oyster Bay
3. Mikochen
4. Upanga East
5. Upanga West
6. Mikochen1
7. Kijitonyama
8. Mbezi beach
9. Kariakoo
10. Kisutu
11. Magomeni
12. Morocco
13. Ubungo
14. Mbweni
15. Ununio
16. Sinza
17. Mwenge
18. Manzese
19. Kibada
20. Kawe

Chagua chochote hapo tukuvue chupi
Hizi utoto zote zilisha kuwa topic hapa before 2019.
You are tooo late
 
Hii yote ni baada ya Tanzania NSSF kujenga huko Nairobi 😂😂😂 Yaani ninyi watu mna inferiority complex the same to the conference facility
Toa maumivu hapa. NSSF has been planning to build this building for close to a decade now.

Alafu jengo gani la Tanzania NSSF lipo Nairobi? Hebu leta picha tuone
 
Mbezi beach dar es salaam. Huu ndo mtaa huwa unalinganishwa na karen, hamna hata tone la lami.
Yenyewe Kenya tupo mbali
Mbezi beach ni mtaa wa Juzi tu.

Karen unaweza kulinganisha na Masaki au Oysterbay kwasababu ni mitaa ya zamani sana, baada ya ukoloni.

Mbezi beach labda ukinganishe na Muthaiga au Runda, ingawa Runda ni private estate
 
Mbezi beach ni mtaa wa Juzi tu.

Karen unaweza kulinganisha na Masaki au Oysterbay kwasababu ni mitaa ya zamani sana, baada ya ukoloni.

Mbezi beach labda ukinganishe na Muthaiga au Runda, ingawa Runda ni private estate
Eti private estate! 🤣🤣🤣
Alafu wacha kulinganisha Runda/Muthaiga na vitu za ujinga kama Mbezi. Runda na Muthaiga hakuna barabara za vumbi
 
Eti private estate! 🤣🤣🤣
Alafu wacha kulinganisha Runda/Muthaiga na vitu za ujinga kama Mbezi. Runda na Muthaiga hakuna barabara za vumbi
Muthaiga wanaishi corrupted tribal politicians.

Mbezi beach juna barabara za vumbi kwasababu ni eneo wanaishi average Tanzanians na serikali haijawajengea baeabara za mitaa.

Runda is owned by a private company
 
Back
Top Bottom