stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 19,808
- 15,718
slowly mpaka akili za wakenya zikae mkao
View: https://x.com/ntvkenya/status/2040281958979420579?s=20
View: https://x.com/ntvkenya/status/2040281958979420579?s=20
So ulete Bongo Navy tuione …🧌You have zero history ya kijeshi.
Cheka zaidi .. hii ni Bongo Navy patrolling in fishing boats… wacha nicheke pia ..🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣imebidi nicheke kwanza
Hii yote ni baada ya Tanzania NSSF kujenga huko Nairobi 😂😂😂 Yaani ninyi watu mna inferiority complex the same to the conference facilityNSSF tower about to change the skyline of Nairobi
View attachment 3567580View attachment 3567581View attachment 3567583View attachment 3567584View attachment 3567585
Dar es salaam ipo na mitaa zaidi 20. Unataka mtaa upi ulinganishwe na Karen kati ya hii?Mbezi beach dar es salaam. Huu ndo mtaa huwa unalinganishwa na karen, hamna hata tone la lami.
Yenyewe Kenya tupo mbali
![]()
3.2K views · 169 reactions | Today I remembered this song of Professor Jay and Vicky from Mbezi Beach. This is one section of Mbezi beach. Tho this aerial footage was too high. But you can still have views of these old middle class neighborhoods of K
Today I remembered this song of Professor Jay and Vicky from Mbezi Beach. This is one section of Mbezi beach. Tho this aerial footage was too high. But you can still have views of these old middle...www.facebook.com
Hizi utoto zote zilisha kuwa topic hapa before 2019.Dar es salaam ipo na mitaa zaidi 20. Unataka mtaa upi ulinganishwe na Karen kati ya hii?
1. Masaki
2. Oyster Bay
3. Mikochen
4. Upanga East
5. Upanga West
6. Mikochen1
7. Kijitonyama
8. Mbezi beach
9. Kariakoo
10. Kisutu
11. Magomeni
12. Morocco
13. Ubungo
14. Mbweni
15. Ununio
16. Sinza
17. Mwenge
18. Manzese
19. Kibada
20. Kawe
Chagua chochote hapo tukuvue chupi
Basi tuongelee huu hapa ukubwa:Hizi utoto zote zilisha kuwa topic hapa before 2019.
You are tooo late
Toa maumivu hapa. NSSF has been planning to build this building for close to a decade now.Hii yote ni baada ya Tanzania NSSF kujenga huko Nairobi 😂😂😂 Yaani ninyi watu mna inferiority complex the same to the conference facility
Mbezi beach ni mtaa wa Juzi tu.Mbezi beach dar es salaam. Huu ndo mtaa huwa unalinganishwa na karen, hamna hata tone la lami.
Yenyewe Kenya tupo mbali
![]()
3.2K views · 169 reactions | Today I remembered this song of Professor Jay and Vicky from Mbezi Beach. This is one section of Mbezi beach. Tho this aerial footage was too high. But you can still have views of these old middle class neighborhoods of K
Today I remembered this song of Professor Jay and Vicky from Mbezi Beach. This is one section of Mbezi beach. Tho this aerial footage was too high. But you can still have views of these old middle...www.facebook.com
Eti private estate! 🤣🤣🤣Mbezi beach ni mtaa wa Juzi tu.
Karen unaweza kulinganisha na Masaki au Oysterbay kwasababu ni mitaa ya zamani sana, baada ya ukoloni.
Mbezi beach labda ukinganishe na Muthaiga au Runda, ingawa Runda ni private estate
Kundudwellers bhana.Eti private estate! 🤣🤣🤣
Alafu wacha kulinganisha Runda/Muthaiga na vitu za ujinga kama Mbezi. Runda na Muthaiga hakuna barabara za vumbi
Muthaiga wanaishi corrupted tribal politicians.Eti private estate! 🤣🤣🤣
Alafu wacha kulinganisha Runda/Muthaiga na vitu za ujinga kama Mbezi. Runda na Muthaiga hakuna barabara za vumbi
Achana ata na runda , haifiki nyali in MombasaEti private estate! 🤣🤣🤣
Alafu wacha kulinganisha Runda/Muthaiga na vitu za ujinga kama Mbezi. Runda na Muthaiga hakuna barabara za vumbi