President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,010
- 93,371
yani awamu moja ya miaka minne imekopa pesa nyingi kuliko awamu zote tano zilizopita ambazo zinafika miaka 60
yani awamu tano zote zilikopa 55 trillion ambayo ni miaka 60
alaf miaka minne awamu moja imekopa 52 trillion😂😂🙌🏻🙌🏻
😂😂😂😂😂😂 wonders
View: https://www.instagram.com/reel/DKz15SDsFUz/?igsh=bnBkdHVwcHp5N291
Mambo ya kawaida sana mdogo wangu. True colors zenu tutaziona tu. Ukipambana na CCM unapambana na Tanzania huwezi fanikiwa utakufa kwa presha tu mdogo wangu