Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

watu wazima wamegoma sasa wanawachukua watoto wadogo kwenye kampeni za kisiasa😂😂🙌🏻

haya sisi tupo


View: https://www.instagram.com/p/DN_ZILzkuSz/?igsh=NzBjaGFuYXF0djFm

Sisi humu tu

1756629081597.png
 

KIBAIGWA IMEITIKA KAMPENI YA MGOMBEA URAIS DKT. SAMIA​

on August 31, 2025
Nyie watu watano hamtusumbui haya kidogo. Sisi tunasonga mbele nyie unganeni na wakenya kututukana na kutudhalilisha watanzania.
View attachment 3459787

View attachment 3459789

View attachment 3459790
kama ni chaguo la wengi mbona waliogopa kumpigia kura kwnye mkutano wa CCM, kikwete akaikwepa suala la kupiga kura unafkiri kikwete mjinga😂😂😂 alishajua kua wanamng'oa asbh mapema sana
 
kama ni chaguo la wengi mbona waliogopa kumpigia kura kwnye mkutano wa CCM, kikwete akaikwepa suala la kupiga kura unafkiri kikwete mjinga😂😂😂 alishajua kua wanamng'oa asbh mapema sana
Mwamba huyu hapa. Kiboko ya January, Ummy na Polepole. Wote wametepeta Kwikwikwikwikwi Sisi tupo na Tanzania nyie mpo na Mabeberu. Njama zenu zote zime fail. Kutumia wakenya kumtukana mnlidhani tutakwama

1756629770447.png


1756629786852.png


1756629811365.png
 
kama ni chaguo la wengi mbona waliogopa kumpigia kura kwnye mkutano wa CCM, kikwete akaikwepa suala la kupiga kura unafkiri kikwete mjinga😂😂😂 alishajua kua wanamng'oa asbh mapema sana
Mwamba huyu hapa anawakondesha wazembe na wasiolitakia mema Taifa letu. Unaumia sana kuona nchi inaongozwa na mwanamke. Nyie wahafidhina mnashida sana Kwikwikwikwikwi Taifa lipo salama

1756630004160.png


1756630058495.png


1756630088288.png
 
wakulazimishwa 😂😂😂 wanakusanywa wasanii wote kwa kulaImishwa na kupewa pesa ww unafkiri haya mambo ni mageni kwa watanzania mzee
Iwe kulazimishwa au kwa hiari CCM lazima isonge mbele. Lissu yupo jera na maisha yanaendelea. Mama yake ni Mwanakwaya wa TOT ya CCM

1756630456030.png


1756630512424.png
 
Back
Top Bottom