RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,418
- 135,059
Hio tunnel unaichimba kuanzia wapi na inatokea wapi? Tunnel ya magari njia sita sio kama tunnel wa wavuka barabara.Inawezekana na nafasi inatosha mkuu, wajenge tunnel kutokea ile njia ya kwenda bandarini ili gari za kutoka kule zipite chini na gari za kutoka feri (white house) zipite juu ya tunnel then hizi za kutokea kamata kuelekea airport zijengewe ka flyover mzunguko, gari za kutokea ferry kama zinataka kwenda kamata (Congo street)zipite mchepuko zielekee njia ya bandarini ambapo wataweka roundabout ili zirudi kuja kamata.
Illustration 👇👇
View attachment 3457610
Elezea hapa tunnel ichimbwe kutoka wapi na iwe na urefu gan iibukie wapi,iwe chini kina gani ili isilete mushkeri wowotw kwa sgr viaduct.
Tunnel sio kama flyover ambayo unaweza kuipachika popote penye nafasi. Ile tunnel ya sgr hapo veta ni kama mtaro tu kutoka upande mmoja wa barabara hadi mwingine.