Mimi ma Ummy wapi na wapi??Anayekufa mtu siyo utawala. Kwikwikwikwi naona unaandika kwa hisia kali sana. Ondoa ujinga kichwani utakuwa huru. Na usiweke matumaini kwa mtu.
Ona sasa uliweka matumaini kwa Ummy Mwalimu amekatwa umebaki kuweweseka tu kama mwehu. Kwikwikwikwikwi
Hapa nasemea UHAI.
Kuwa hata wewe UTAKUFA