Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Anayekufa mtu siyo utawala. Kwikwikwikwi naona unaandika kwa hisia kali sana. Ondoa ujinga kichwani utakuwa huru. Na usiweke matumaini kwa mtu.

Ona sasa uliweka matumaini kwa Ummy Mwalimu amekatwa umebaki kuweweseka tu kama mwehu. Kwikwikwikwikwi
Mimi ma Ummy wapi na wapi??

Hapa nasemea UHAI.

Kuwa hata wewe UTAKUFA
 
Acha kutafuta kichaka cha kujifichia,ukweli ndio huo,na shida inaanzia viongozi wa kiafrika kwao siasa ni ajira,ndio maana hata wanapofanya makosa awajiuzulu,na hata utakuta kiongozi anamuandaa mwanae aje kuwa kiongozi,demokrasi ya kweli hamna na ndio maana hawana hofu ya wapiga kura,hali hiyo ndio inafanya bara letu liwe kituko pa1 na rasilimali zote
Umenimbusha Ahmadinejad, aliposhindwa uchaguzi akajirudia zake kufundisha chuo, japo kuwa na yeye alipenda nepotism.
 
Hii falsafa ya trickle down economics ambayo mtandao wameikumbatia ni mbovu sana kwa Tanzania. Hii ndiyo falsafa iliyoua middle class Marekani. Hii homelessness ya wamarekani ambayo wengi hapa mnapenda kuicheka, chimbuko lake ni hii trickle down economics.
I agree.
 
Back
Top Bottom