Dah asee I remember sakata letu la sukari walileta mdogo, but as Country Tanzania tumeendelea kua nchi inayodili na matatizo yanayotishia usalama kimkakati zaidi.
Tulikua na Upungufu wa Tani 100k - 200k kwa kua uzalishaji wa Ndani ulikua 300k mahitaji 400k
Sakata la Sukari enzi za Magufuli na utawala wa Samia hatua zilizochukuliwa.
1. Kupitia vibali vya uagizaji na kuipatia NFRA inunue ihidadhi na kugawa ya export.
2. Kumshawishi Bhakresa kujenga Bagamoyo Sugar kwa kumpatia ardhk kubwa bure na msaada ahitajio.
View: https://youtu.be/hdlhRwZwEw8?si=pIT2_BaWiT122OcL
View attachment 3458489
3. Ujenzi kiwanda Cha Mkulanzi Sugar
View: https://www.instagram.com/p/DNFlAviMtSn/?igsh=Z3MxeHNjb3Fhajhv
View: https://youtu.be/3nxs09FzvKU?si=duA6ux9dxr3T-cMI
Vimekamilika na Samia still kuna expansions za Viwanda existing
Kilombero to 270k Tones
View: https://youtu.be/d0WLj5Z2jCo?si=UjhFrg3FOjRlpgUr
Upanuzi Wa Kagera Sugar
Upanuzi wa Mtibwa Sugar etc
Kuna hii TARI ilitafiti mbegu mpya za miwa na kuzigawa.
Imagine one issue tulideal nayo strategically kimya kimya
Kutoka 320k Tones 2017
Mpaka 660k dah we about to hit Self Sufficiency zero Import
Kumbuka Sasa Demand haiangalii mahitaji tu bali inaangalia na RESERVE Demand baada ya ile sheria ya NFRA kuitaka iwe na RESERVE kama more than 100k Tones.
Kuna Wasenge wa North kazi kuimport kila kitu na kuturingia mzigo wa Tonnes, wakati sisi tupo tunawipe import with domestic production.
TANZANIA IS SOMETHING WANA in the surface tunaweza onekana siasa nyingi ila once issue ikitishia any security ya nchi wiping is only solution.