Traveller D
JF-Expert Member
- Jul 11, 2025
- 498
- 2,187
👇🏾🤣🤣🤣Kwani Mtwara huwa iko na gantry cranes?
The only port in Tanzania with gantry cranes ni Dar is slum and they are only 3.
👇🏾🤣🤣🤣Kwani Mtwara huwa iko na gantry cranes?
The only port in Tanzania with gantry cranes ni Dar is slum and they are only 3.
MamayakoEbu tuonyeshe mwenye alikuwa kwa njaa this year.
Kaka mitandao katika nchi haiwezi kukosekana. Nchi isiyokuwa na mitandao ni nchi mfu. Tangu kipindi cha Nyerere mitandao ilikuwepo.Unaamini kama kuna CCM mtandao?
Tunapaswa tuwe nazo kama tatu Hivi!Hili pigo liliwaacha wakenya kwenye mavumbi. Wakataka kutufanyia Figisu lisitue Nairobi, tukawapiga KO
View attachment 3458691
Mbona wazungu wanaenda Kibera na korogocho, Wakenya hawasemi kitu.Bado ana subscribers wachache, hana jeuri ya kupoteza wakenya, si unajuwa walivyo na kikorosho?
Mbona hizo berths looks like they are 50 meters each?
Kwa hiyo unaona sawa kuwa na mtandao wa kikundi kidogo, kinacho hakikisha, wenyewe na watoto wao wanaitawala Tanzania milele? Akitokea mtoto wa mkulima, mwenye uwezo, wanamlambisha mchanga, hiyo ni sawa?Kaka mitandao katika nchi haiwezi kukosekana. Nchi isiyokuwa na mitandao ni nchi mfu. Tangu kipindi cha Nyerere mitandao ilikuwepo.
Mafanikio gani ya individuals unayosema, wakati hapa tunaongelea masuala mapana ya nchi? Mfano sasa hivi tuna wastaafu ambao ni very intelligent individuals ambao bila ya Mwalimu kuwa na sera nzuri za elimu, wasingefika hapo.Mimi sioni tija ya kuanza kuzungumzia mafanikio ya watu wengine Negatively. Sijajua ni kitu gani mnachokiongelea.
Kaka, si unaelewa hawa jamaa zetu linapokuja suala la 'musungu' huwa wananywea.Mbona wazungu wanaenda Kibera na korogocho, Wakenya hawasemi kitu.
Jamaa wa wallah!Kunyaland wanaumia sana Zuchu ku perform 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
View attachment 3458701
Kaka kikundi kipi kimeitawala Tanzania na watoto wao?Kwa hiyo unaona sawa kuwa na mtandao wa kikundi kidogo, kinacho hakikisha, wenyewe na watoto wao wanaitawala Tanzania milele? Akitokea mtoto wa mkulima, mwenye uwezo, wanamlambisha mchanga, hiyo ni sawa?
Mafanikio gani ya individuals unayosema, wakati hapa tunaongelea masuala mapana ya nchi? Mfano sasa hivi tuna wastaafu ambao ni very intellent individuals ambao bila ya Mwalimu kuwa na sera nzuri za elimu, wasingefika hapo.
Sasa hivi tumeanza kuidhoofisha elimu, juzi Kikwete anasema, mabadiliko ya elimu yatakuwa, darasa la kwanza hadi form 4, yaani watoto watapelekwa tuu bila mchujo, tunataka kutengeneza vilaza kwa faida ya nani?
Mzee unataka nini zaidi ikiwa kuna strong laws three laws ambazo zinajibu kilio chako cha muda mrefu kama nchi? Bado zinapingwa.Kelele siyo UADUI.
Unatakiwa kujua kelele zinatokanana HOFU, maana tumeshapigwa sana na pia kelele zinatokana na kubahatisha maana hayo makubaliano hayako wazi