Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani Mtwara huwa iko na gantry cranes?

The only port in Tanzania with gantry cranes ni Dar is slum and they are only 3.
👇🏾🤣🤣🤣
IMG_1092.jpeg
 
Unaamini kama kuna CCM mtandao?
Kaka mitandao katika nchi haiwezi kukosekana. Nchi isiyokuwa na mitandao ni nchi mfu. Tangu kipindi cha Nyerere mitandao ilikuwepo.

Mimi sioni tija ya kuanza kuzungumzia mafanikio ya watu wengine Negatively. Sijajua ni kitu gani mnachokiongelea.
 
Kaka mitandao katika nchi haiwezi kukosekana. Nchi isiyokuwa na mitandao ni nchi mfu. Tangu kipindi cha Nyerere mitandao ilikuwepo.
Kwa hiyo unaona sawa kuwa na mtandao wa kikundi kidogo, kinacho hakikisha, wenyewe na watoto wao wanaitawala Tanzania milele? Akitokea mtoto wa mkulima, mwenye uwezo, wanamlambisha mchanga, hiyo ni sawa?
Mimi sioni tija ya kuanza kuzungumzia mafanikio ya watu wengine Negatively. Sijajua ni kitu gani mnachokiongelea.
Mafanikio gani ya individuals unayosema, wakati hapa tunaongelea masuala mapana ya nchi? Mfano sasa hivi tuna wastaafu ambao ni very intelligent individuals ambao bila ya Mwalimu kuwa na sera nzuri za elimu, wasingefika hapo.

Sasa hivi tumeanza kuidhoofisha elimu, juzi Kikwete anasema, mabadiliko ya elimu yatakuwa, darasa la kwanza hadi form 4, yaani watoto watapelekwa tuu bila mchujo, tunataka kutengeneza vilaza kwa faida ya nani?
 
Kwa hiyo unaona sawa kuwa na mtandao wa kikundi kidogo, kinacho hakikisha, wenyewe na watoto wao wanaitawala Tanzania milele? Akitokea mtoto wa mkulima, mwenye uwezo, wanamlambisha mchanga, hiyo ni sawa?

Mafanikio gani ya individuals unayosema, wakati hapa tunaongelea masuala mapana ya nchi? Mfano sasa hivi tuna wastaafu ambao ni very intellent individuals ambao bila ya Mwalimu kuwa na sera nzuri za elimu, wasingefika hapo.

Sasa hivi tumeanza kuidhoofisha elimu, juzi Kikwete anasema, mabadiliko ya elimu yatakuwa, darasa la kwanza hadi form 4, yaani watoto watapelekwa tuu bila mchujo, tunataka kutengeneza vilaza kwa faida ya nani?
Kaka kikundi kipi kimeitawala Tanzania na watoto wao?

Wabunge wa Tanzania ni 272. Hebu taja watu kama 20 tu waliopota ubunge wa CCM kuwa ni watoto wa hicho kikundi
 
Kelele siyo UADUI.

Unatakiwa kujua kelele zinatokanana HOFU, maana tumeshapigwa sana na pia kelele zinatokana na kubahatisha maana hayo makubaliano hayako wazi
Mzee unataka nini zaidi ikiwa kuna strong laws three laws ambazo zinajibu kilio chako cha muda mrefu kama nchi? Bado zinapingwa.

Tukisema tusikilize kila mtu tutafika wapi?

Sikatai Kelele (Criticism) kuna constructive pia.

Nakataa pinga pinga ya kila kitu hata chenye manufaa kwa nchi.

Yaani kudandia hoja daily kupinga pinga kuona eti watu wafeli upate hoja wakati akifeli kama taifa tunapata pigo zito.


Huyo mtu wa aina gani?
 
Back
Top Bottom